Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,738
- 14,636
Toka lini Etwege akawa chadema? Huyo ni damu mbaya mazee,damu ya kijaniBavicha mna roho mbaya sana. Hata wanyonge mnawaonea wivu!! Kisa hawakushiriki maandamano yenu na hawakuwapa kura basi wamekua maadui zenu. Mnatete shamba la Mbowe huku mnashabikiwa masikini waharibiwe hata wanachokitegemea pekee