Tutazuia Sensa mahakamani na kwa maandamano ya amani - Sheikh Ponda Issa Ponda

Japo Rais Jk jana kusisitiza hakurokuwepo kwa kipengele cha Dini katika sensa leo kiongozi wa Waislam akihojiwa adai kuwa hata iweje kama hakuna kupengele cha dini hawaki tayari kuhesabiwa ikiwa hata wakifungwa jela mpaka kipengere kirejeshwe.

Dhamira kuu ni;

1. Wakristu wanasema wao ndio wengi wanataka waesabiwe ili ijulikane nani wako wengi.

2. Ajira ziwe sawa kati ya wakristo na waislam kwani mwanzo walidai hawana wasomi na sasa wako wengi sana wanataka usawa jwenye ajira

3 . Wakristo wanapewa misaada na serikali wakati wao ni wachache na wanataka kujulikana kuwa na wao ni wengi zaidi na wapewe misaada kama wenzao
 
Kazi ipo, nimeamini ukishikwa roho na akili ni hatari sana, hata ukiambiwa KONYAGI ndo mungu utampigania hadi kufa.Shame on me!!
 
Japo Rais Jk jana kusisitiza hakurokuwepo kwa kipengele cha Dini katika sensa leo kiongozi wa Waislam akihojiwa adai kuwa hata iweje kama hakuna kupengele cha dini hawaki tayari kuhesabiwa ikiwa hata wakifungwa jela mpaka kipengere kirejeshwe.

Dhamira kuu ni;

1. Wakristu wanasema wao ndio wengi wanataka waesabiwe ili ijulikane nani wako wengi.

2. Ajira ziwe sawa kati ya wakristo na waislam kwani mwanzo walidai hawana wasomi na sasa wako wengi sana wanataka usawa jwenye ajira

3 . Wakristo wanapewa misaada na serikali wakati wao ni wachache na wanataka kujulikana kuwa na wao ni wengi zaidi na wapewe misaada kama wenzao
Kama Waislamu wanadai ni wengi basi sensa ndio mahali pao kupata ukweli kuliko kupiga kelele gizani na kuwapotosha wenzao bila sababu yoyote!!!Aliyepanga sensa ifanyike ni Raisi Kikwete na Makamu wa Raisi ni Dr Bilari wote hao ni Waislamu je wangeona sensa ni hatari kwa Waislamu si wangepinga mpango huo, woga wa nini tulia watu tuhesabiwe!!!!


 
Hivi kwa nini Serikali inashindwa kukiweka hicho kipengele cha DINI??..Inaogopa nini?..Mbona kooote mtu unaulizwa DINI yako..POLISI,HOSPITALI,NYUMBA ZA KULALA WAGENI N.K...Mimi ni Mkiristo kwa Imani yangu na nimekuwa nashindwa kuelewa kwa nini SERIKALI inasita kukiweka hicho Kipengele. Haiyumkiniki kusema Serikali haijui UMUHIMU wa DINI katika Maisha yetu!..Ziko Nchi nyingi wanacho hicho kipengele mbona hakuna Matatizo kama tunayoyahubiri hapa.

Inawezekana liko JAMBO ambalo SERIKALI kwa Makusudi wanalijua na hawataki kuwaambia wanachi..Manake huwezi kuja na hoja nyepesi tu kwamba..'Sensa haiko kujua dini ya Mtu'..Dini ni 'biodata'..ambazo zinaweza kumsaidia mtu mwingine kwa matumizi ya Research ama Uwekezaji n.k..Tusipende kukariri tu bila kufikirisha ubongo wetu..vinginevyo tutarejea kule kule ambako tuliambiwa VYAMA VINGI VITALETA VITA KAMA YA RWANDA!!
 
Hivi kwa nini Serikali inashindwa kukiweka hicho kipengele cha DINI??..Inaogopa nini?..Mbona kooote mtu unaulizwa DINI yako..POLISI,HOSPITALI,NYUMBA ZA KULALA WAGENI N.K...Mimi ni Mkiristo kwa Imani yangu na nimekuwa nashindwa kuelewa kwa nini SERIKALI inasita kukiweka hicho Kipengele. Haiyumkiniki kusema Serikali haijui UMUHIMU wa DINI katika Maisha yetu!..Ziko Nchi nyingi wanacho hicho kipengele mbona hakuna Matatizo kama tunayoyahubiri hapa.

Inawezekana liko JAMBO ambalo SERIKALI kwa Makusudi wanalijua na hawataki kuwaambia wanachi..Manake huwezi kuja na hoja nyepesi tu kwamba..'Sensa haiko kujua dini ya Mtu'..Dini ni 'biodata'..ambazo zinaweza kumsaidia mtu mwingine kwa matumizi ya Research ama Uwekezaji n.k..Tusipende kukariri tu bila kufikirisha ubongo wetu..vinginevyo tutarejea kule kule ambako tuliambiwa VYAMA VINGI VITALETA VITA KAMA YA RWANDA!!
Nakuunga mkono sioni kwa nini serikali isiweke hicho kipengele cha dini ya mtu!!!!Mbona kila mahali ukienda unaulizwa dini yako kulikoni???

 
Hivi kwa nini Serikali inashindwa kukiweka hicho kipengele cha DINI??..Inaogopa nini?..Mbona kooote mtu unaulizwa DINI yako..POLISI,HOSPITALI,NYUMBA ZA KULALA WAGENI N.K...Mimi ni Mkiristo kwa Imani yangu na nimekuwa nashindwa kuelewa kwa nini SERIKALI inasita kukiweka hicho Kipengele. Haiyumkiniki kusema Serikali haijui UMUHIMU wa DINI katika Maisha yetu!..Ziko Nchi nyingi wanacho hicho kipengele mbona hakuna Matatizo kama tunayoyahubiri hapa.

Inawezekana liko JAMBO ambalo SERIKALI kwa Makusudi wanalijua na hawataki kuwaambia wanachi..Manake huwezi kuja na hoja nyepesi tu kwamba..'Sensa haiko kujua dini ya Mtu'..Dini ni 'biodata'..ambazo zinaweza kumsaidia mtu mwingine kwa matumizi ya Research ama Uwekezaji n.k..Tusipende kukariri tu bila kufikirisha ubongo wetu..vinginevyo tutarejea kule kule ambako tuliambiwa VYAMA VINGI VITALETA VITA KAMA YA RWANDA!!

Wakristu tunajua idadi yetu kupitia sensa ya kanisani why na waislamu wasifanye hivyo misikitini? Mbona wanaweza kupeana taarifa kuhusu kuandama kwa mwezi na wote wanajua mfungo umeanza why wasitangaziane kwamba tarehe XX ni siku ya kufanya sensa misikitini? Wanaogopa nini?
 
Wasituchezee hawa majuha mbona semina za sensa hawakatai. Kama wanataka ubwabwa waseme JK atawapa.
 
The study of the United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 suggests that 62% of the population of Tanzania is Christian, 35% is Muslim, and 3% are members of other religious groups.[2] The CIA World Factbook however states that 30% of the population is Christian, with Muslim being 35% and indigenous beliefs 35%.[3]
About 97 percent of the population on the Zanzibar Archipelago is Muslim. On the mainland, Muslim communities are concentrated in coastal areas, with some large Muslim minorities also in inland urban areas.[1] Between 80 and 90 percent of the country's Muslim population is Sunni; the remainder consists of several Shi'a subgroups, mostly of Asian descent.[1] The Christian population is composed of Roman Catholics, Lutherans and Anglicans, Pentecostals, New Apostolic Christians, Seventh-day Adventists, members of The Church of Jesus Christ of Latter-day Saints (Mormons), and members of Jehovah's Witnesses.[1] The Baha'i Faith is established in several hundred localities throughout the country. Foreign missionaries operate in the country.[1]
The Constitution provides for freedom of religion, and the Government generally respects this right in practice.[1] There have been cases of increased tension between secular and fundamentalist Muslims as the latter have called for Muslims to adopt a stricter interpretation of Islam in their daily lives.[1]
 
Wakristu tunajua idadi yetu kupitia sensa ya kanisani why na waislamu wasifanye hivyo misikitini? Mbona wanaweza kupeana taarifa kuhusu kuandama kwa mwezi na wote wanajua mfungo umeanza why wasitangaziane kwamba tarehe XX ni siku ya kufanya sensa misikitini? Wanaogopa nini?

Sidhani kama umeelewa nilichokisema...inavyoonekana unakiri kuwa upo umuhimu wa kujuana IDADI..pengine kinachokukera ni SERIKALI kufanya zoezi hilo kwa kupitia SENSA!..Na hapo ndipo ilipo hoja yangu kuwa kwa nini lisifanyike kitaifa na DATA zipatikane officially!..Kwa nini kuwe na prejudgements kuwa Waislamu watazitumia VIBAYA..Ina maana SERIKALI inaona itashindwa kuzijibu hoja za Waislam??..Hili la Wakiristo kuonekana wanapenda kujua Idadi yao ila hawataki SERIKALI ihesabu wananchi kwa kuwauliza dini zao ndio linaloleta maswali sana..Na ukifuatilia mjadala utaona wapingaji wengi ama wanajinasbisha na ukiristo ama tu hawawapendi waislam lakini huoni HOJA zinazojisimamia.
 
Ninachoona washauri waislamu wao wasiendelee kulalamika badala ya kukazania elimu dunia pia, wakristo, au wakatoliki ata wakiweka twakimu zao kwenye tovuti yao izo takwimu hazi tambuliwi na serikali na wala hazi tumiki kwa mipango yao kimaendeleo serikalini, so waisilamu hiyo nayo isiwaumize sana, mji hesabu misikitini mje na idadi yenu mpange maendeleo ya dini yenu, ila hii sensa ya serikali mshiriki for the sake ya mipango ya maendeleo kwa watu wote wasio na dini na wenye dini.Idadi za dini gani wako wengi aita wafikisha waumini wowote peponi jamani, Lawama za kila siku kana kwamba nyie ndio mnaonewa tu, je wale wenye dini za jadi na wapagani?
 
Ndio matatizo ya kukosa kazi za kufanya.Inabidi tufufue ile sera ya uzururaji ili hawa wote wakamatwe wapelekwe kwenye yale mashamba ya "nguvu kazi"
Katika dodoso la sensa ya mwaka huu 2012 wamewekakipengele cha majumba ya ibada (Makanisa na Misikiti). Waislamu tunahoji, kamaserikali haipangi maendeleo kwa kuzingatia dini majumba hayo ya kidini ya ninikatika dodoso la sensa? Kama majumba hayo ya ibada ni muhimu kujulikana idadiyao, kwa nini iwe haramu kujulikana idadi ya waumini wa majumba hayo ya ibada?Kuna nini kimejificha nyuma ya pazia?“waislamu hatutashiriki sensa ya mwaka huu na miaka mingine ijayo iwapokipengele cha dini hakitawekwa katika dodoso la sensa”. Viongozi wetu wametoa haditarehe 26 Julai, mwezi mmoja kabla ya zoezi la sensa kuanza, serikali iwe imewekakipengele hicho cha dini na kuweka utaratibu wa usimamizi wa pamoja wa sensa kati yaidara ya sensa, waislamu na wakristo ili kuepusha kutolewa takwimu kiupendeleo.Yako madai kwamba wale ambao hawatoshiriki sensa hiyo watachukuliwa hatua. Madaihaya ni vitisho tu kwani kwa mujibu wa Mwanasheria wa Idara ya Takwimu akizungumzakatika semina ya vyombo vya habari juu ya sensa alisema huwezi kuwalazimisha watuwashiriki katika sensa kwa nguvu, sensa hiyoo itakuwa si sensa tena.
 
Mambo mengine ni muhimu kutafakari kabla hujaongea sheikh tena mbele ya umma kiasi hicho.
 
Hii ni haki yetu kikatiba kwa mujibu wa ibara ya 18 (b) yakatiba ya nchi imbayo inatamka wazi kwamba "Kila mtu anayo haki ya kutafuta,kupokea na kutoa habari…", pia ibara ya 18 (d) inayosema "Kila mtu anayo haki yakupewa taarifa wakati wowote kuhusu matukio muhimu mbali mbali kwa maisha nashughuli za wananchi na pia kuhusu masuala muhimu kwa jamii.NYIE ONGEENI SANA LAKINI SISI TUMESHA AMUA NA HATORUDI NYUMA. NA KAMA MNAONA SISI NI WAJINGA BASI MTAONA SIKU IKIFIKA.ISHALLAH
 
acha fikra potofu ndugu jiulize ni kwann kipengele cha dini kwann wanakikataa? Mmesoma nyie pekee sie tumesoma madrasa hata hao maprofesa unaowasikia tz wenye majina ya kiislam hizo profesa zao ni za mdrasa.

na ukiwa uliza maprofesa wengi wao walipitia shule za seminari za wakristo.
 
Mimi nadhani Shekhe Ponda aseme vizuri anahamasisha kugomea sensa kwa maslahi ya kundi gani. Ni upotoshaji mkubwa anaposema eti WAISLAM wamesema! Lini waislam wamekutana na kuazimia hayo? Ni kundi gani la waislam analoliwakilisha. Ni ajabu kubwa kwa muislam, anayeujua uislam, kufikiri yeye ndiye muislam safi kuliko wengine. Najua anatafuta umaarufu ili serikali imshirikishe kwenye mipango yenye kugusa imani ili apate chochote. Inamuuma sana akiona akina Shekhe Al had Salum wakiaminika, wakiheshimika na kushirikishwa kwenye masuala mbali mbali na serikali. Wito wangu kwa shekh Ponda, AACHE KUWAFITINISHA WAISLAM, kwa kutafuta umaarufu
 
Sheikh ponda ana tafuta umaarufu kwenye sensa, sasa subiri haone serikali itakavyo mshughulikia na kumlaza segerea

Hivi sheikh ponda ni msemaji wa waislam,hivi kwa nini serikali ina muacha sheikh ponda ana tamba kwenye hii nchi mtu mdogo kama yeye!
 
Toka sensa ya mwaka 1968,1978, 1988, 2002 na hii ya mwaka huu hakuna swali la wewe ni dini gani, sasa hawa waislamu wanataka idadi ya waisilamu na wakriston ya nini?
 
Back
Top Bottom