kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
my take yako ni upuuzi
imekaa kmuozo.. Pia nitoe ushauri. Din ni kama taasisi2 ila cha muhmu ni kumgua mungu, watz 2cwe hvyo, walio leta hz dn walzleta kmabavu na saiv hawana tym nazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
my take yako ni upuuzi
Mimi Sijamuelewa Sheikh Ponda anasema watazuia sensa mahakamani. Je ni kwa vipi? Ameweka Court injunction?
Acha fikra potofu ndugu jiulize ni kwann kipengele cha dini kwann wanakikataa? mmesoma nyie pekee sie tumesoma madrasa hata hao maprofesa unaowasikia tz wenye majina ya kiislam hizo profesa zao ni za mdrasa.watu wengine bwana sijui vichwa vyao vina nini....
hata wakiambia kuwa waisalamu ni 99% inawasaidia nini?
basi bodi waandike 99% ni waislamu ili waridhike.....
badala ya kujenga shule na hospitali, kuandamana kushinikiza huduma za umeme na maji, miundombinu...wanaandamania sensa....
au ndo mbinu za kutafuta mpunga hizo?
kwa nini na wao wasifungue tovuti yao wakaandika 101% ya watanzania ni waislamu?
Acha fikra potofu ndugu jiulize ni kwann kipengele cha dini kwann wanakikataa? mmesoma nyie pekee sie tumesoma madrasa hata hao maprofesa unaowasikia tz wenye majina ya kiislam hizo profesa zao ni za mdrasa.
Acha fikra potofu ndugu jiulize ni kwann kipengele cha dini kwann wanakikataa? mmesoma nyie pekee sie tumesoma madrasa hata hao maprofesa unaowasikia tz wenye majina ya kiislam hizo profesa zao ni za mdrasa.
hivi serikali iki kubali kuweka kipengele cha dini na matokeo ya kaonesha waislam wako millioni 15 tu, je mtakubali?
Na kwa mwendo huu na sikikitika kusema sheikh ponda ana weza akalia eid segerea.
Naamini watakao andamana siku hiyo lazima wafungulie bila kutaka maana kichapo watakacho pata lazima unywe maji ndio uta pona.
Nyie wekeni maandamano wakati mwezi huo wa nane kuna chuo kipya kinafunguliwa na wakristo wakati nyie mtakuwa kwenye maandamano ambayo yata wagharimu.
Mtabaki kulala mika mpaka mwisho wa dunia!
Mwanauamsho huyo si ajenge hoja na sio kusumbua watu! kwani ukiambiwa waislamu ni wengi kuliko wakristo ndio mtachukua kazi za kitaalamu bila kwenda shule?! hazitolewi kama tende zile ni kitabu Ponda!! huwezi kumtoa mtu madrasa ukampa udaktari, usiwe zuzu Ponda mkuu wa nchi ameshatoa tamko utapondwapondwa Ponda!! wingi au uchache wa waumini sio hoja tanzania is a secular state; serikali haina dini kwa hiyo haiwezi katu kufanya zoezi la sensa kwa misingi ya madhehebu, serikali haina haja ya kujua madhehebu ya wananchi wake bali inaheshimu na kuulinda uhuru wao wa kuabudu hata kama ni kuabudu ng'ombe Ponda
huyu sheh mponda ni suruali fupi au ni kawaidaWaislamu wa ukweli hatupingi sensa, wanaopinga wote ni Wehuuuuuuuuu
Siku ya Agosti 26, iliyopangwa kuanza hiyo inayoitwa sensa, Waislamu tumejipanga kufanya maandamano makubwa ya amani nchi nzima kupinga misingi dhuluma dhidi ya Waislamu tutatoka nchi nzima ili ulimwengu washuhudie idadi ya Watanzania ambao hawakushiriki kuhesabiwa, alisema Ponda.
Alisema kumekuwepo na takwimu mbalimbali zinazokinzana kuhusu idadi ya Waislamu na Wakristo, huku akiishutumu serikali kwa kufumbia macho takwimu hizo zikiwemo zilizopo kwenye tovuti ya Kanisa Katoliki, Bodi ya Utalii na Idara ya Uhamiaji.
MY TAKE
Bodi ya utalii na Uhamiaji? hapa TAKWIMU zingalionesha waislam wapo wengi .JF pasingalika, Chadema, mapadri, maaskofu bungeni pasingalika
source: Nipashe
Tusihukumu mawazo ya watu. Kundi hili ni sehemu ya jamii ya watanganyika. mawazo yao yasipuuzwe, bali yafanyiwe kazi. ama sivyo, tutalifanya jeshi lenu liwe jeshi la kupambana kila siku. nahofu, kwa jinsi ya muundo wa jeshi lenu ulivyo, damu inaenda kumwagika. Mungu apishe mbali, wakubali kuhesabiwa. TII SHERIA BILA SHURUTI!!!!!
hivi ishu ni idadi ya waislam kuwa ndogo au ni nini cuz hiki kiduku sijajua ni cha wimbo gani...........
mliochangia mada hii wote ni wakristo,kwanini mmnawatusi waislam kiasi hiki eti hawakwenda shule kwahiyo kama hawakwenda shule hawana haki ya kutoa maoni yao,mmajenga jamii yenye udini mkubwa sana.