VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Baada ya ndugu Pinda kukubali kuwa kuna umuhimu wa katiba mpya ila bado hajajua kama mabadiliko yanayoitajika ni makubwa au madogo swali langu ndugu zangu je tutahakikisha vipi kwamba viraka hivyo ni vile vitakavyotunusuru kukaa na huu uchi wetu wa sasa....
baadhi ya mambo ya kuyabadilisha kwa upeo wangu ni baadhi ya haya
a) Kupunguza madaraka ya raisi
b) Muungano uwe muungano ambao ni fair
c) Tume (issue za tume kwamba zikimtangaza raisi basi hakuna kupingwa ni old fashion)
Ndugu zangu naomba tuchangia baadhi ya vilaka vingine (at least tukinyimwa kupitia vipengele vyote hivi vibadilishwe)
Je kuna mtu anaweza kunijuza mbinu ya kuhakikishwa vipengele hivi vitabadilishwa na sio CCM kutumia mabavu na kufanya minor changes?
baadhi ya mambo ya kuyabadilisha kwa upeo wangu ni baadhi ya haya
a) Kupunguza madaraka ya raisi
b) Muungano uwe muungano ambao ni fair
c) Tume (issue za tume kwamba zikimtangaza raisi basi hakuna kupingwa ni old fashion)
Ndugu zangu naomba tuchangia baadhi ya vilaka vingine (at least tukinyimwa kupitia vipengele vyote hivi vibadilishwe)
Je kuna mtu anaweza kunijuza mbinu ya kuhakikishwa vipengele hivi vitabadilishwa na sio CCM kutumia mabavu na kufanya minor changes?