Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Bila shaka polisi wamelivurunda hili ile mbaya, hasa baada ya kumuuwa mwandishi. Matokeo yake ndiyo hayo yanayoonekana, kila mtu, taasisi mbali mbali binafgsi, vyombo vya habari etc wamelilaani jeshi la polisi na serikali ya CCM kwa mauaji hayo na katika hilo magazeti, radio na TV binafsi zimefanya kazi zao barabara kuonyesha uovu wa polisi.
Waliokuwa upande wa polisi kama kawaida ni taasisi zote za serikali ya CCM na viongozi wake ambao hulipwa na serikali ya CCM. Hawa ni pamoja na Tendwa, Nchimbi, Manumba, Chagonja, Kamuhanda nk.
Naweza kusema reaction ni 85% to 15% in against the CCM govt.
Mnasemaje wengine?
Waliokuwa upande wa polisi kama kawaida ni taasisi zote za serikali ya CCM na viongozi wake ambao hulipwa na serikali ya CCM. Hawa ni pamoja na Tendwa, Nchimbi, Manumba, Chagonja, Kamuhanda nk.
Naweza kusema reaction ni 85% to 15% in against the CCM govt.
Mnasemaje wengine?