Leo kamati kuu ya CCM inakutana kuijadili rasimu ya katiba. Baada ya kikao hicho tutarajie yafuatayo kuwa ndio maoni yao ya CCM
1)kupinga muundo wa serikali tatu na kupendekeza tuendelee na serikali mbili
2)kupinga matokeo ya urais kupingwa mahakamani
3)kupinga kufutwa kwa viti maalum
4)Tuendelee kuorodhesha na kujadiliana mapendekezo yote ambayo kuna uwezekana wa CCM kuyakataa, naomba kuwakilisha jamvini!
1)kupinga muundo wa serikali tatu na kupendekeza tuendelee na serikali mbili
2)kupinga matokeo ya urais kupingwa mahakamani
3)kupinga kufutwa kwa viti maalum
4)Tuendelee kuorodhesha na kujadiliana mapendekezo yote ambayo kuna uwezekana wa CCM kuyakataa, naomba kuwakilisha jamvini!