Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,593
- 2,380
R.I.P Ruge
Kutokana na kupishana maneno kati ya clouds na wasafi na kumpaka zia marehemu Ruge kua ni mnyonyaji wa wasanii na ana roho mbaya..Haya yote yalifanywa na wasafi ili wao wakae juu( siku zote tunajua ukitaka kumuua mbwa basi mpe jina baya) Basi hivyo ndivyo walivyofanya wasafi kumchafua Ruge ili wapendwe wao.
Kinachoonekana walikua wanatembelea nyota ya clouds ili wawejuu wao kwa kutafuta huruma kutoka kwa mashabiki na jamii.
Sasa tutarajie anguko lao waliekua wakimchafua ili wapate huruma za wananchi hayupo.
Sasa wapambane na hali zao .malipo ni hapa hapa duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na kupishana maneno kati ya clouds na wasafi na kumpaka zia marehemu Ruge kua ni mnyonyaji wa wasanii na ana roho mbaya..Haya yote yalifanywa na wasafi ili wao wakae juu( siku zote tunajua ukitaka kumuua mbwa basi mpe jina baya) Basi hivyo ndivyo walivyofanya wasafi kumchafua Ruge ili wapendwe wao.
Kinachoonekana walikua wanatembelea nyota ya clouds ili wawejuu wao kwa kutafuta huruma kutoka kwa mashabiki na jamii.
Sasa tutarajie anguko lao waliekua wakimchafua ili wapate huruma za wananchi hayupo.
Sasa wapambane na hali zao .malipo ni hapa hapa duniani
Sent using Jamii Forums mobile app