Tafuta Airtel mpya iko vizuri sidhani kama wamebadili.Natafuta sehemu ambapo nitasajili line ya zantel aisee.
Tafuta Airtel mpya iko vizuri sidhani kama wamebadili.Natafuta sehemu ambapo nitasajili line ya zantel aisee.
Unatumiaje iyomie natumia bundle za ulaya huku nimeshazisahau kabisaa huu mwaka wanne sasa
Usidhani Serikali haijui. Inajua sana. Wanafanya Corraboration (Corrabo) au featuring kutuumiza wananchi..ili tusitumie mitandao.Tusubiri majibu ya Ndugulile
Nataka vilivyopoa.Karibu VODACOM TANZANIA huku vifurushi vyao vimechangamka kidogo
...mkuu mie natumia halotel, gb 1 kwa sh 1,000/ kwa wiki. Zamani mpaka mwaka jana November-December, speed ilikuwa nzuri sanaaa na hakukuwa na kukatika katika kwa mtandao..Lakini baada ya hapo, inakata sanaaaaaHamia halotel
Ha ha ha! Kazi ipo.Naona ligi ya BPL..(Bundle Premier League) imechangamka sasa baada ya Mtanange wa kwanza!
VPN - TCRA (3-0)
Mechi Ziliofuata...
TCRA - MITANDAO (4-1)
MITANDAO - RAIA (4-0)
Hahaha bado league inaendelea lakini mambo matamu.
Huyo Waziri Kawapa Muda Mrefu Ndiyo Maana Wanatupiga Kabla Ya MarchTusubiri majibu ya Ndugulile
Hivi hakuna njia ya kuiba hizo bandoKwa hali inavyoendelea ngoja niuchune tu maana huku niliko kutamu wasije wakaleta uchawi na huku 😂😂😂 bundle la buku buku uhakika sana 😁
HahahaAIR FUCKING TEL..mawazo yao wanadhani tunatmia Bundle kuangalia porns which is also none of their business..shenz taipu.
Featuring inazaa funikaring wananchiUsidhani Serikali haijui. Inajua sana. Wanafanya Corraboration (Corrabo) au featuring kutuumiza wananchi..ili tusitumie mitandao.
Bora huki mara 1000Halotel atleast
1000 MB 500 bila dakika wiki
2000 GB 1.6 bila dakika wiki
3000 GB 3 bila dakika wiki
5000 GB 6 bila dakika wiki
10000 GB 13 bila dakika wiki
15000 GB 25 bila dakika wiki
10000 GB 10 bila dakika Mwezi
15000 GB 16
20000 GB 22
30000 GB 34
50000 GB 60
1000 GB 1 Halopesa wiki
3000 GB 3 na dakika 30 Halopesa wiki
3000 GB 3 bila dakika wiki
10000 MB200 sms 50 na dakika 1250
Huu si utopolo bora nibakie na air tel the smartphone network.Halotel atleast
1000 MB 500 bila dakika wiki
2000 GB 1.6 bila dakika wiki
3000 GB 3 bila dakika wiki
5000 GB 6 bila dakika wiki
10000 GB 13 bila dakika wiki
15000 GB 25 bila dakika wiki
10000 GB 10 bila dakika Mwezi
15000 GB 16
20000 GB 22
30000 GB 34
50000 GB 60
1000 GB 1 Halopesa wiki
3000 GB 3 na dakika 30 Halopesa wiki
3000 GB 3 bila dakika wiki
10000 MB200 sms 50 na dakika 1250
Mimi natumia Airtel uwa najiunga vifurushi vya wiki au mwez Jana nashangaa naenda jiunga nakuta kifurushi Cha 20000 unapata gb 11 sikuamini macho yangu.Watanzania kama ilivyo ada tumekuwa wanyonge mpaka basi. Tumekubali kukamuliwa kila sehemu na Serikali imeamua kuendelea kutunyonya mpaka damu.
Kifurushi cha Airtel cha Tsh 1,000 kwa GB 1 nacho kimepunguzwa. Sasa ni MB 500 kwa tsh 1000 ndani ya siku 3.
Tunajua Serikali nayo inafaidika na mnyonyo huu,mkamuo huu. Wametukamua maziwa bila kutulisha. Sasa maziwa yamekauka. Wanaanza kutukamua Damu.
Watanzania, ilipanda sukari tukanyamaza, ikapanda bei ya mafuta tukanyamaza, inapanda bei ya vifurushi tumenyamaza. Tunataka ipande nini tuamke?
Mpaka sasa natafuta Mtandao Rafiki ambao utanisaidia upande wa Data niachane na Airtel. Please tushirikishane kama Halotel, Zantel au TTCL wana offer za kufaa za Internet Bundles.