Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Tangu tupate uhuru, tumekuwa na viongozi wengi sana katika nchi hii lakini katika wote hao, hakuna kiongozi hata mmoja ambae tunamnukuu kumzidi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere.
Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa hili, hatumnukuu kwa bahati mbaya tu, bali ni kwasababu alikuwa na kipaji cha kuona mbali hivyo leo tunalazimika kumnukuu kwasababu mengi aliotuasa na kutuonya yamekuwa yakitokea mara kwa mara kama tunavyoshuhudia hata leo hii.
Tundu Lissu, kama ilivyo kwa mwalimu Nyerere, ni mmoja wa wanasiasa tutakolazimika kuwanukuu kila kukicha na kila siku hasa katika zama hizi za sasa.
Wako watakaomnukuu hadharani na wako pia ambao ama kwa aibu au wivu, watakuwa wakiyakumbuka maneno yake kimyakimya huku wakijutia nafsi zao.
Amakuwa outspoken kwa mambo me gi tu kwa faida ya nchi yetu ila baadhi ya wenzetu walimuona kama msaliti na wengine walisema anatafuta umaarufu wa kisiasa wanasahau Lissu teyari ni maarufu.
Nasema wazi kadri siku zinavyokwenda, wengi watajikuta wakizikumbuka kauli mbalimbali za Lissu na wanasiasa wengine wa upinzani kwa yale yote waliokuwa wakituonya ingawa baadhi yetu tuliowaona wanafanya sias.
Inawezekana kabisa wako viongozi na wanasiasa wengine waliokuwa na maono kama Lissu ila kwasababu walikosa ujasiri waliamua kukaa kimya hivyo watu wa aina hii kwetu hawana thamani bali mwenye thamani kwetu leo ni Tundu Lissu na wanasiasa wenzake wachache wa upinzani walioamua kusimama ili wahesabiwe bila kujali hatari iliyokuwa inawakabili.
Muda ni mwalimu mzuri sana na huenda Mungu alimnusuru Lissu ili ashuduhie baadhi ya yale aliyoyasema yakitimia.
Japo hivi sasa yuko kitandani, ninaamini haya yanayojiri ni tiba tosha kwa majeraha aliyoyapata.
Acheni Mungu aitwe Mungu.
Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa hili, hatumnukuu kwa bahati mbaya tu, bali ni kwasababu alikuwa na kipaji cha kuona mbali hivyo leo tunalazimika kumnukuu kwasababu mengi aliotuasa na kutuonya yamekuwa yakitokea mara kwa mara kama tunavyoshuhudia hata leo hii.
Tundu Lissu, kama ilivyo kwa mwalimu Nyerere, ni mmoja wa wanasiasa tutakolazimika kuwanukuu kila kukicha na kila siku hasa katika zama hizi za sasa.
Wako watakaomnukuu hadharani na wako pia ambao ama kwa aibu au wivu, watakuwa wakiyakumbuka maneno yake kimyakimya huku wakijutia nafsi zao.
Amakuwa outspoken kwa mambo me gi tu kwa faida ya nchi yetu ila baadhi ya wenzetu walimuona kama msaliti na wengine walisema anatafuta umaarufu wa kisiasa wanasahau Lissu teyari ni maarufu.
Nasema wazi kadri siku zinavyokwenda, wengi watajikuta wakizikumbuka kauli mbalimbali za Lissu na wanasiasa wengine wa upinzani kwa yale yote waliokuwa wakituonya ingawa baadhi yetu tuliowaona wanafanya sias.
Inawezekana kabisa wako viongozi na wanasiasa wengine waliokuwa na maono kama Lissu ila kwasababu walikosa ujasiri waliamua kukaa kimya hivyo watu wa aina hii kwetu hawana thamani bali mwenye thamani kwetu leo ni Tundu Lissu na wanasiasa wenzake wachache wa upinzani walioamua kusimama ili wahesabiwe bila kujali hatari iliyokuwa inawakabili.
Muda ni mwalimu mzuri sana na huenda Mungu alimnusuru Lissu ili ashuduhie baadhi ya yale aliyoyasema yakitimia.
Japo hivi sasa yuko kitandani, ninaamini haya yanayojiri ni tiba tosha kwa majeraha aliyoyapata.
Acheni Mungu aitwe Mungu.