Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,543
- Thread starter
- #21
Sawa Mi mjinga sijui,wewe unajua zaidi.....kwamba Trump alikuwa anakosea kutokuwapa nafasi mashoga ni vibaya kwasababu wapo? Kuwepo mashoga Tz ni sababu yakutoona Trump alifanya vizuri kwenye jambo hilo? Biden kuteua Shoga kama ivyo kwako ni sawa tu?Mkuu ujinga ni kutokujua kitu, siyo tusi
Nimekupa tu upana wa tatizo la ushoga, kuepusha sijui kumpongeza huyo Trump sijui kafanya nini.....