Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,543
Pamoja na mapungufu yake Trump, ila huu upuuzi na laana haukuwa na nafasi kwenye Serikali yake.
Chadema ipi tena wakati mataga mlisema Chadema imefutika?Chadema wamefurahia kuondoka kwa Trump!
Sidhani kama kuna uhusiano wowote mkuu.Chadema wamefurahia kuondoka kwa Trump!
Duuh watarudi kwa speed hawa nyau.View attachment 1683174
Pamoja na mapungufu yake Trump,ila huu upuuzi na laana haukuwa na nafasi kwenye Serikali yake.
Hii hii ya akina Halima Mdee!Chadema ipi tena wakati mataga mlisema Chadema imefutika?
Democrats ni washirika wa Chadema!Sidhani kama kuna uhusiano wowote mkuu
Sidhani kama wanachukua sera zao zote, usiwahukumuDemocrats ni washirika wa Chadema!
Inawezekana wamechukua hiyo hiyo moja!Sidhani kama wanachukua sera zao zote,usiwahukumu
Bro hii imezidi sasa! Kila threadh wewe ni CDM tu.Chadema wamefurahia kuondoka kwa Trump!
Sidhani, maana wao ni WaTz na Tz tuna utamaduni wetu na aina yetu ya maishaInawezekana wamechukua hiyo hiyo moja!
Chadema ndio chama kikuu cha upinzaniBro hii imezidi sasa! Kila threadh wewe ni CDM tu.
Ushoga upo tangu enzi za sodoma . hata wasipojitangaza wapo tu.View attachment 1683174
Pamoja na mapungufu yake Trump,ila huu upuuzi na laana haukuwa na nafasi kwenye Serikali yake.
"Tumeruka kinyesi tumekanyaga mavi"Kwa hiyo tumeruka kinyesi tumekanyaga mavi ?
Hapo watetezi wengi wa haki za binadamu watapata kuungwa mkono sasa.