britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 29,999
Kuna Vitetesi fulan japo 2025 ni mbali ila kwa uoga wa Rais Magufuli, endapo akikubali kuachia madaraka basi atauingilia Uchaguzi kuanzia mchakato wa Mgombea ndani ya Chama hadi Uchaguzi Mkuu kwa ujumla kuhakikisha anayebaki ni yule atakayefanya yafuatayo
1. Hataruhusu kujadiliwa kwa aliyofanya rais mstaafu.
2. Hataibua hoja au hataruhusu hoja za kuhoji matumizi yasiyofuata taratibu za Manunuzi kama vile ununuzi wa Ndege, na ujenzi wa miradi mbali mbali Ambayo haikufuata utaratibu na hatuoni uwazi.
3. Hataruhusu kuhoji haki za watu zilizopotea na haki za watu waliouwawa au kufichwa kabisa.
4. Hataruhusu kuhojiwa Kwa wafanya biashara Walidhulumiwa na serikali na wengine kufungwa kwa kisingizio cha Uhujumu uchumi na utakatishaji pesa.
5. Hataruhusu kabisa uwazi wa namna yeyote.
KATIKA WATU ANAOWAONA WATAIWEZA KAZI HIYO
1. Bwana Hussein Mwinyi wa Zanzibar, huyu atakuwa ni yule wa Ndiyo mzee wangu mstaafu pumzika usiguswe
2. Paul Makonda, kwa Muda huu anatuzuga kamsahau lakin kwa Mabalaa na Maajabu ya Tanzania ukashangaa 2026 anapigiwa mizinga
3. Kassim Majaliwa, Huyu naye yuko Obedient Sana kwa Magufuli
4. Hamis kigwangalla,
Si lazima jina liwe kwenye hayo ila atapitishwa mwenye sifa za hao
Tukumbushane July 2025
Mungu atuweke na yeye amuweke pia maana ya Mungu Mengi hapa kati kati
Amen
Britannica
1. Hataruhusu kujadiliwa kwa aliyofanya rais mstaafu.
2. Hataibua hoja au hataruhusu hoja za kuhoji matumizi yasiyofuata taratibu za Manunuzi kama vile ununuzi wa Ndege, na ujenzi wa miradi mbali mbali Ambayo haikufuata utaratibu na hatuoni uwazi.
3. Hataruhusu kuhoji haki za watu zilizopotea na haki za watu waliouwawa au kufichwa kabisa.
4. Hataruhusu kuhojiwa Kwa wafanya biashara Walidhulumiwa na serikali na wengine kufungwa kwa kisingizio cha Uhujumu uchumi na utakatishaji pesa.
5. Hataruhusu kabisa uwazi wa namna yeyote.
KATIKA WATU ANAOWAONA WATAIWEZA KAZI HIYO
1. Bwana Hussein Mwinyi wa Zanzibar, huyu atakuwa ni yule wa Ndiyo mzee wangu mstaafu pumzika usiguswe
2. Paul Makonda, kwa Muda huu anatuzuga kamsahau lakin kwa Mabalaa na Maajabu ya Tanzania ukashangaa 2026 anapigiwa mizinga
3. Kassim Majaliwa, Huyu naye yuko Obedient Sana kwa Magufuli
4. Hamis kigwangalla,
Si lazima jina liwe kwenye hayo ila atapitishwa mwenye sifa za hao
Tukumbushane July 2025
Mungu atuweke na yeye amuweke pia maana ya Mungu Mengi hapa kati kati
Amen
Britannica