BangiNyeusi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 490
- 589
Bangi haina madhara tajaneni wala unga nyie
wabongo bana wenzao mataifa makubwa wanahalalisha bange ..wenyewe ndo macho juu na cheap popularity ..thanks God kwa kunifumbua macho to that sacred herd nilipoenda netherlands [HASHTAG]#legalize[/HASHTAG] itMnawaogopa wauza unga mmeamia kwenye ndete.
wabongo bana wenzao mataifa makubwa wanahalalisha bange ..wenyewe ndo macho juu na cheap popularity ..thanks God kwa kunifumbua macho to that sacred herd nilipoenda netherlands [HASHTAG]#legalize[/HASHTAG] it
Here are the Countries Where Marijuana Is Legal in Some Form
sasa wanaposema vita dhidi ya wauza unga ningumu siwaelewi coz hawa mapusha wana wajua dealers wakubwa soTabata segerea..kituo cha basi sanene.Kama unatokea mjini ukishuka Hapo sanene..vuka barabara upande Wa pili utaona kuna taxi na pembeni ya taxi bubu hizo kuna vi osk vya wachaga.
Hapo bangi inavutwa na kuuzwa 24/7.
Sinza.ukitoka shekilango road unakunja kwenda tandale pale kijiweni..mtaa Wa kwanza kulia kunja..mbele kidogo kuna kiosk cha mangi..Hapo wanauza 24/7.
Mwenge..Maryland bar..nyuma yake..mtaa Wa kwanza kushoto..Hapo unga..bangi vinauzwa 24/7 hrs.
Mnazi mmoja kona ya Lumumba na mkunguni karibu kabisa na kituo cha polisi..bangi inauzwa mchana kweupee..
Mwenge nyuma ya sibuka FM ..kuna kijiwe pale..unga unauzwa 24/7.
Yani sehemu zipo kibaooo
Bangi inavutwa kwenye viwanja vyote vya mpira,ukizunguka kwenye viawanja vyote vya mpira mtaani lazima utakuta vijana wanavuta bangi
Nilifikiria ingekuwa ni vyema zaidi ungeanzisha uzi huu kutaja kwanza vijiwe vya wanaofanya biashara ya unga kwani ndo kitu kinachowaharibu vijana zaidi kwa sasa
mkuu me nmefurah sana kutaja vijiwe vya wauza dawa za kulevya au wauza bangi hiyo nzuri sana kakaMimi naanza na Sinza Kijiweni pale kwa Rasi na Tabata Sanene pale kituoni kwenye madereva taxi, vile viosk vyote pale biashara kubwa ni bangi ila wanakuwa wanazuga na kuuza pipi na vitu vidogo vidogo.
Taja na wewe vijiwe vya kuuza bangi unavyovijua pengine tutasaidia wakamatwe.
Asante chief..nimekaa Sana mjini navijua zaidi na zaidi.Viosk vingi vya kuuza pipi na biscuits ni zuga tuu..biashara kubwa kubwa ni bangemkuu me nmefurah sana kutaja vijiwe vya wauza dawa za kulevya au wauza bangi hiyo nzuri sana kaka
Mimi naanza na Sinza Kijiweni pale kwa Rasi na Tabata Sanene pale kituoni kwenye madereva taxi, vile viosk vyote pale biashara kubwa ni bangi ila wanakuwa wanazuga na kuuza pipi na vitu vidogo vidogo.
Taja na wewe vijiwe vya kuuza bangi unavyovijua pengine tutasaidia wakamatwe.
Hata mimi Nashangaa mkuu ETI huyu kisu cha ngariba kataja moja ya chimbo langu Sasa naenda kumwambia sadali wangu afiche kazi wanga wanadanganya watu huku.. Hatuachi Kula mipepeBangi haina madhara tajaneni wala unga kenge nyie