Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,228
Tukimaliza hao..Tutawataja wanajf wanaokula bangi
Babu Aspirin
Tukimaliza hao..Tutawataja wanajf wanaokula bangi
Zembwela havuti bangi wala hanywi viroba
HUYU JAMAA TUMENYONGA NAE SANA GANJA SCULRoma Mkatoliki. Kama ni kweli unavuta mmea acha. Wewe ni kioo cha jamii
NI SAWA NA KUSEMA ZITTO KABWE HAJAWAHI KUWA MWANA SIASAJuma Necha havuti bangi wala sigara
mbna ww umechanganyikiwa na hauvuti bange unachakusema kuhusu hilobange nani anasema haina madhara, acheni kudanganya watu , bange mbaya sana ina madhara makubwa tu ya kisaikolojia kama kuchanganyikiwa
Bangi akivuta yanampata nini?Mkuu nimesema ngada na bangi. Hivo kama unajua either anatumia ngada au bangi mtaje ili siku yakimpata ajue tulimwonya toka awali.
Huyo ni mla unga, mchunguze freshDah.. Imemtesa na kumharibia future mshikaji wangu... Alikuwa yuko njema kichwani... Toka kwa bibi Rwakatare ....alianza mdogomdogo akiiga kwa kutoka kwa bro wake...sasa hivi hata kuoga kwake ni shida....anatembea na gitaa tu kupiga kwenyewe Hajui....tuliokuwa washkaji tukimuona tunamkimbia... maana stori zake ni za kupigania uhuru tu... sijawahi kujua ni uhuru wa wapi....
Wasanii Wengi wa HIP HOP,karibu 99%.Wengi wapi? Wataje japo wachache mkuu
Ukichunguza wala ngada, wengi wao walianza na Bange, walipoona haiwapi stimu wanayotaka anymore (body resistance) ndo wakaamua kuanza kuchanganyia na ngada mdogomdogo, baada ya muda wanasniff then wanajidunga kwenye mishipa. So, usitetee bangi coz mara nyingi imekuwa ndo mwanzo wa kuelekea kwenye utumiaji wa ngada.Bangi haina tatizo ni watu wengi wanaojitambua wanavuta na maisha yao yanasonga.
Ishu hapa tujadili NGADA
Mimi nakunywa safari ndogo
wanaochanganyikiwa ni wanaomix na ungabange nani anasema haina madhara, acheni kudanganya watu , bange mbaya sana ina madhara makubwa tu ya kisaikolojia kama kuchanganyikiwa
Hawajaona haiwapi stimu, tatizo la wahuni wanataka wajaribu kila stimu sasa na ngada haijaribiwi ukitest ndio umeanza utejaUkichunguza wala ngada, wengi wao walianza na Bange, walipoona haiwapi stimu wanayotaka anymore (body resistance) ndo wakaamua kuanza kuchanganyia na ngada mdogomdogo, baada ya muda wanasniff then wanajidunga kwenye mishipa. So, usitetee bangi coz mara nyingi imekuwa ndo mwanzo wa kuelekea kwenye utumiaji wa ngada.
Nani kasema unajua maana ya madawa ya kulevya!!!!!!Bangi sio madawa ya kulevya.
Sigara ina madhara makubwa kuliko bange.
Kabisa mkuu, mtu kama Chege au JCB akikuangalia tu wewe ndio unajihisi umekuwa bange, kwa hiyo kuwataja humu ni kuwafitini tu.
na unga piaTID viroba