Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
hehehehe!ataingia msituni.maanake mtani nae namuelewa vizuri na kabila lake!Na hapo ndipo mpwa Masa atakapokuwa tayari kuipindua serikali.
wanajua KUDISSOLVE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hehehehe!ataingia msituni.maanake mtani nae namuelewa vizuri na kabila lake!Na hapo ndipo mpwa Masa atakapokuwa tayari kuipindua serikali.
Fidel pale GYMKANA una vizia watoto wa Kihindi!!
Kila nikiisoma hiyo red huwa nasikiaga kichefuchefu. Afu mpwa hiyo inatutoa nje ya point.
TUKO PAMOJA SHEM!
kula ndovu mpya au taska!ukilewa nauli ya bajaji inakuwepo.ndo raha ya bongo
Mpwa ishia hapohapo. Wale jamaa zetu wakiisoma hii tutakosa usingizi. Yu knoo woram seeeing?
Na nyie jamani kwani kutafutana kuna matatizo ???
hahahaha!umesomeka!tuko pamoja.taifa tunaenda?
unisaidie kumzomea mpwa fidel
Na nyie jamani kwani kutafutana kuna matatizo ???
Jamani watu kwa kukuza mambo.Prezidaa ni mtu wa watu na anawainua wanawake.Si unajua tukiwezeshwa tunaweza!
by the way na yule binti wa ITV Fatma Almasi Nyangasa naye aendelee kujiweka sawa ana kila dalili ya kuukwaa u-DC
.......talaka tatu pale pale!maanake jamaa anapenda kuwawezesha!Siku ZD wangu utakapopewa uDC natangaza talaka. Eti anawainua wanawake? Hahahaha!
Siku ZD wangu utakapopewa uDC natangaza talaka. Eti anawainua wanawake? Hahahaha!
.......talaka tatu pale pale!maanake jamaa anapenda kuwawezesha!
Mwanaume wewe una wivu ,tutakuwa hatujengi.Suala hapo ni kuaminiana tu.
Teh teh,shem na wewe una mambo.wanawake wapo wengi,atawawezaje wote hao peke yake?Acheni hizo jamani,tutakuwa hatuendelei
yule huwa anagusa anatembea,anagusa anatembea!kila wilaya ana kifaaTeh teh,shem na wewe una mambo.wanawake wapo wengi,atawawezaje wote hao peke yake?Acheni hizo jamani,tutakuwa hatuendelei