Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Hahaaaa, sasa unaendelezaje profession au career?? hivi u-DC ni technical sana eh??
Bongo hakunaga mambo ya professional kwenye siasa na kiutendaji unaweza ukaishia form 4 kama unacheka vizuri na munene basi anakupumnzisha kwenye uDC angalia safu hiyo ya mawaziri niambie waziri gani yupo right position? Njoo kwa maDC kisha maRC yaani wataalamu wa kuzalisha wamekuwa dumped kwenye siasa tutaendelea kweli?