Riport ya lembeli inaonyesha jins viongoz na watendaji wetu wanaweza kusimamia uhujumu na ufirauni juu ya wananchi wao wenyewe huku wakisimamia hali mbaya ya wananchi. kumbe tunaweza simamia ouvu kwa gharama yeyote lkn hatuwez simamia maendeleo kwa nusu gharama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.