Tutafika Miaka80 ya Uhuru tukiwa hapahapa Sababu:-

usijali mkuu, Makamba alisema watatawala miaka mia which means tutaendelea kuwa hivi hivi kwa muda wa miaka 48 more from now
 
Riport ya lembeli inaonyesha jins viongoz na watendaji wetu wanaweza kusimamia uhujumu na ufirauni juu ya wananchi wao wenyewe huku wakisimamia hali mbaya ya wananchi. kumbe tunaweza simamia ouvu kwa gharama yeyote lkn hatuwez simamia maendeleo kwa nusu gharama
 
Back
Top Bottom