M2flan
JF-Expert Member
- Jun 27, 2013
- 414
- 250
Huu ni mwaka wa 52 tangu kupata uhuru nchii hii toka kwa Mwingereza,Lakini ni hatua flani chache za maendeleo tulizozifikia tangu kupata kwetu uhuru1961.Maendeleo mengi tuliyonayo hadi hivi sasa ni kwa mchango wa Mwl.JK Nyerere, ambapo tangu kufariki kwake naweza sema hamna cha maana sana tulichofanya kama Mzee wetu huyu.Sababu zifuatazo ndizo zilizotufanya tudumae katika maendeleo ya Taifa hili nazo ni:-
1)Siasa za mdomoni zisizolenga utekelezaji.
2)Kulewa madaraka kwa viongozi wetu
3)Uvunjifu na kutofuata Maadili ya Uongozi
4)Kushindwa kwa Serikali kudhibiti mapato yake ikiwa pamoja na kutowawajibisha viongozi wabadhilifu
5)Uanzishaji wa Sera zinazolenga kuleta maendeleo pasipo na mikakati madhubuti.
6 )Kuwa na sheria dhaifu katika udhibiti wa Rasilimali.
Hizo ni baadhi ya sababu tu ambazo zitafanya tufike Miaka80 ya Uhuru tukiwa hatuna maendeleo ya kulinganisha na umri wa Uhuru husika.Muhimu Serikali itambue hili
1)Siasa za mdomoni zisizolenga utekelezaji.
2)Kulewa madaraka kwa viongozi wetu
3)Uvunjifu na kutofuata Maadili ya Uongozi
4)Kushindwa kwa Serikali kudhibiti mapato yake ikiwa pamoja na kutowawajibisha viongozi wabadhilifu
5)Uanzishaji wa Sera zinazolenga kuleta maendeleo pasipo na mikakati madhubuti.
6 )Kuwa na sheria dhaifu katika udhibiti wa Rasilimali.
Hizo ni baadhi ya sababu tu ambazo zitafanya tufike Miaka80 ya Uhuru tukiwa hatuna maendeleo ya kulinganisha na umri wa Uhuru husika.Muhimu Serikali itambue hili