Kukosa uzalendoHa ha haaaaa sasa hao waliobet wakikamatwa watashtakiwa au watafanywa nini na je kama wakishtakiwa ni kwa sheria ipi...
uhujumu uchumi, usaliti au uhaini???!!!
Shithole kantre
Huyo na aliyemuweka hapo wana elimu ya dukani kariakoo
Kwa hili nakuunga mkono. Huyu kijana ni......Someni wenyewe na kuangalia kiongozi wa Karne hii anaweza kuwa na mawazo na kauli kama hizi?
Wapo wengine ni kizazi cha Analog lakini huwezi kuwaona wanatoa mawazo ya hovyo namna hiyo!
Mie nasema hatuwezi kuendelea.View attachment 1147139
Huwa nakupinga unapojitoa ufahamu kuhusu Magu. Ila kwa Bashite tupo pamoja! Hana aibu huyu dogo! InaboreLakini umeona majibu ya huyu vuvuzela MOTOCHINI? ndio utajua kuna watu chini kwa moto
I see...Huyo na aliyemuweka hapo wana elimu ya dukani kariakoo