Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Bin Maryamu, nani kasema hatuna resource au hazitoshi? Sidhani kama tatizo ni resources, tatizo kwa maoni yangu ni watu wanaosimamia resources hizo.
Ni rahisi kuziba ufa kuliko kujenga ukuta. Tungeingilia kati Rwanda mapema tusingelipa gharama kubwa ya kuhudumia wakimbizi. The same applies to Kenya, tutalipa gharama kubwa ya kiuchumi na kijamii kama Kenya itaingia kwenye machafuko makubwa zaidi kuliko gharama ya kuingilia kati sasa.
Nina uhakika, tukija na mpango mzuri jamii ya kimataifa watakuwa tayari kusaidia.
Ni rahisi kuziba ufa kuliko kujenga ukuta. Tungeingilia kati Rwanda mapema tusingelipa gharama kubwa ya kuhudumia wakimbizi. The same applies to Kenya, tutalipa gharama kubwa ya kiuchumi na kijamii kama Kenya itaingia kwenye machafuko makubwa zaidi kuliko gharama ya kuingilia kati sasa.
Nina uhakika, tukija na mpango mzuri jamii ya kimataifa watakuwa tayari kusaidia.