Tutaangalia mpaka lini?

Bin Maryamu, nani kasema hatuna resource au hazitoshi? Sidhani kama tatizo ni resources, tatizo kwa maoni yangu ni watu wanaosimamia resources hizo.

Ni rahisi kuziba ufa kuliko kujenga ukuta. Tungeingilia kati Rwanda mapema tusingelipa gharama kubwa ya kuhudumia wakimbizi. The same applies to Kenya, tutalipa gharama kubwa ya kiuchumi na kijamii kama Kenya itaingia kwenye machafuko makubwa zaidi kuliko gharama ya kuingilia kati sasa.

Nina uhakika, tukija na mpango mzuri jamii ya kimataifa watakuwa tayari kusaidia.
 
Many Kikuyus believe that the violence was planned, regardless of the election result. They have accused William Ruto, one of Odinga’s top aides, who is a Kalenjin and an MP in Eldoret, one of the flashpoints in the Rift Valley, of a preelection hate speech.

“He has become the warlord of the Rift Valley,” said a man called Simon. “He poisoned the Kalenjin against the Kikuyu.”

Kamau said his Kalenjin neighbour, a banker, had warned him two weeks before the election to expect trouble. He said he had heard hate speeches broadcast on the local Kalenjin radio station and had been told that Kalenjin youths were being indoctrinated against the Kikuyu while undergoing circumcision in December as a rite of passage.

“There are no Kikuyus who have been left on their farms in the Rift Valley,” said Kamau, who was burnt out of his Eldoret home with his wife and three children and now lives in a refugee camp.

“They have destroyed all our property. They think the Rift Valley is theirs and no other tribe should be there. That is what they were told during the circumcision ceremonies.”

So powerful was the rhetoric that it seemed to have infected even educated Kalenjins. After being burnt out of his home, one senior figure at Moi University in Eldoret was warned last week that his colleagues were hunting for him and he should not return if he wanted to stay alive.

The growing and seemingly uncontrollable tribal violence has led to inevitable comparisons to Rwanda, where the 1994 geno-cide claimed nearly 1m lives. But Kenya is not Rwanda. It has 42 tribes, where Rwanda had only two, one of which made up 90% of the population. The brutal ethnic cleansing that divided Bosnia is a fairer analogy.

To combat the Kalenjin attacks, the Kikuyu in the Rift Valley have resurrected a murderous criminal gang notorious for beheading its victims. The gang, called the Mungiki, was established during elections in the 1990s to counter violence by Kalenjin gangs but was later outlawed. Last year the police reportedly killed 500 Mungiki in a crackdown.

According to a priest in Nakuru, Mungiki gangs were on the prowl last week, under police protection and looking for members of other tribes. One Kikuyu youth who would call himself only John described how he was forced to join a gang which beheaded 15 Kalenjin and Luos.

“They killed one man armed with a club and stones. He could not answer a question put to him in Kikuyu so they forced him to the ground and cut off his head. Next we met a big man sharpening two pangas. They cut him so fast that his mouth was still moving when they lifted up his head on the end of a panga.”

His story fitted word from other Kikuyus that a strategy had been devised to wait for most Kikuyus to be in places of safety before striking back against the Kalenjin. “We kept quiet for a month,” said one Kikuyu who was thirsting for vengeance.

“If we had acted before our people were safe, the Kalenjin would have killed them. Now we will chop them in pieces. Raila and Ruto will cry.”

Na bado wanaendelea!
 
umuhimu wa kusaidia kuepusha upotevu wa maisha ya ndugu zetu wa Kenya ni muhimu sana. hata hivyo ni muhimu kuangalia kwa makini njia muafaka ya kuhitimisha lengo hilo.

sidhani kama tanzania kuingia kijeshi na kusidia kutuliza amani ni rahisi kwani itabidi serikali yetu ipate kibali cha kufanya hivyo kutoka serikali ya Kenya (Kibaki?). Je, Kibaki akiomba msaada wa aina hiyo tanzania itautoa? Je, kwa kufanya hivyo haitaleta tafsiri ya kuitambua rasmi serikali ya Kibaki na hivyo kuonekana kuchukua moja kwa moja upande katika mgogoro huo?

Labda Tanzania tuitwe na wahanga wake (Kibaki na Odinga). Likifanyika hili pande zote mbili zishauriwe kukubali kuweka maeneo salama ambapo wananchi walioathirika au wanaotishiwa usalama wao wapate pa kukimbilia. Maeneo haya salama yanaweza lindwa na jeshi la kenya (kama wananchi bado wana imani nalo) au majeshi ya nchi rafiki wa kenya. Hii itaondoa uwezekano wa kufumuka tatizo la wakimbizi.

Mara nyingi nchi zinazopaka husita sana kupeleka jeshi katika nchi jirani kwa kuogopa kumezwa na kufanywa sehemu katika mgogoro
husika. Aidha kama nchi hizo jirani zinafanana nguvu zao za kijeshi hapo ugumu huongezeka. Kama mkataba wa EAC ingekuwa na kipengere kinachoruhusu nchi wanachama kuingia kijeshi kuokoa maisha ya raia iwapo mwanachama yupo matatizoni basi ingekuwa rahisi kwa tanzania kuingia kenya kama eac na sio Tz. Hata matatizo ya Serbia/Kosovo majeshi yaliyotumika ni nato na sio Ujerumani au Marekani japokuwa ndege zilizoangusha mabomu ni za wamarekani.
 
Van is 13-years-old and comes from the town of Eldoret - one of the flashpoints of Kenya's recent ethnic violence.

As he talks about the events that befell his family a fortnight ago, his voice drops to a whisper.

"My mother was attacked by men with machetes. I didn't see it - when I arrived, there was only blood on the floor."

I went to the neighbour's house - his leg was broken. I was so very scared. He told me to run for my life."

It is a story that could have been told by any one of thousands of Kenya's displaced children.

They've seen people being shot, houses being burnt, even people being burnt alive

More than 60 of them are here in the SOS Children's Home - an orphanage on the outskirts of Nairobi.

For the lucky ones, there is a chance their parents may be missing, but still alive.

The rest of them already know that the events of recent weeks have left them orphans.

Nicholas Makutsa from the Red Cross is one of those tasked with tracing missing parents and children.

"They've talked about seeing their parents being killed - they've seen people being shot, houses being burnt, even people being burnt alive. It's been a traumatising experience for them."

And even here, violence is not far away. As we speak, there comes a sound from beyond the gates that causes the children to stiffen with fear - gunshots from a neighbouring slum.

It may be police, or a shoot-out between gangs. But after what these children have witnessed in recent weeks, it is enough to send them scurrying for cover.

Since they arrived here only a handful of children have been reunited with their parents. Today, as they shelter in a classroom from the shooting outside, another one is about to get good news.


More than 900 people have been killed since disputed elections

Mary is nine-years-old, with a beautiful but troubled face. She stands apart from the other children and says barely a word.

While we are here, the Red Cross gets word that her mother is in fact alive, and on her way to the orphanage

We meet Rosalind at the gate. She tells us of the day that gangs of youths from another tribe set fire to homes in her neighbourhood.

Mary became separated from Rosalind in the panic. For the past fortnight each has thought the other to be dead.

There are no words between mother and daughter when they are reunited - only silent tears. Rosalind takes her daughter's hand, walks out of the gate and back into a Kenya that has become a fearful place.

They have no home, no money and only a promise of future peace from their feuding politicians.

Nimeitoa BBC leo. Tutamrudishaje jini kwenye chupa?
 
Uchumi wa Tanzania hauwezi kuwaathirika kabisa na matatizo yanayotokea kule kwa sababu zifuatazo. Sekta kubwa ya uchumi ni misaada na Kenya sio nchi inayotusaidia. Sekta inayofuatia ni madini, migodi iko mbali na Kenya.

..blue band tutaikosa kidogo, lakini tanbond si tunayo!

..omo,foma ipo!

..kimbo,mafuta ya alizeti yapo!
 
Let's be real. Eneo la Afrika mashariki na kati ni vurugu tupu. Tanzania leo ikingia Kenya, na kesho ikaingia Uganda, na keshokutwa ikaingia zaire, hiyo pesa ya kuwalisha watanzania itapatikana wapi waakati 40% inatoka kwenye misaada?

Acheni mambo ya umasikini jeuri.

..kwanza tuingie kwa faida ipi? we are not imperialists!
 
Mwekezaji mkubwa katika haka ka uchumi ketu ni Kenya.

..fundi,mwekezaji mkubwa [wawekezaji wengi is the correct word] ni makampuni toka kenya,ambayo ukweli ni ya kimataifa yenye makao yake pale!ukisema kenya,it sounds like serikali ya kenya!

..kwanza bora yahamie huku kwetu!
 
Mbona watanzania mnataka kuwa waafrika sana kuliko wengine wakati resource za kutatua matatizo yetu wenyewe hazitoshi?

..mtanzania [si huyu humu!] ni mtu wa domo kaya na kujipendekeza [hasa mimi] hata kama hana uwezo wa kutosha na watoto wanalalia kauzu nyumbani ataenda nunulia wa wenzie nyama au kuku alimradi aonekane naye ni mtu wa maana!

..we need to shake up this mentality!
 
nasikia jana odinga kapendekeza majeshi ya kulinda amani yapelekwe kenya. kasisitiza kwamba majeshi hayo yawe ya un ama au na sio ya nchi pekee.

nadhani nimegusia hapo juu kuhusu umuhimu wa jeshi la jumuiya na si la nchi.
 
..mtanzania [si huyu humu!] ni mtu wa domo kaya na kujipendekeza [hasa mimi] hata kama hana uwezo wa kutosha na watoto wanalalia kauzu nyumbani ataenda nunulia wa wenzie nyama au kuku alimradi aonekane naye ni mtu wa maana!

..we need to shake up this mentality!

Kweli tupu DaRiSalamu. Hiyo dhana ya Tanzania (pekee) kuingilia mgogoro wa jirani, hata kama ni kwa kukaribishwa halifai. Ikiwa ni sehemu ya jeshi la kimataifa, hapo tunaweza kuchangamkia.

Badala ya kulialia na athari za kiuchumi tutakazozipata kutokana na matatizo haya ya Kenya, tungekuwa wakati huu tunapanga mbinu za kuondokana na utegemezi wetu mkubwa kwa Kenya. Badala ya kungoja watalii washukie Kenya kwanza ndio wateremke Tanzania, wakati huu tungekuwa tunaimarisha sehemu zinazofanya hao watalii wasije moja kwa moja Tanzania. Gharama za kupeleka hao wanajeshi huko Kenya zinatosha na kusaza kulitimiza hilo.
 
Kwa wale wanaotaka tunyamaze tu, tukumbuke haya:

First the Nazis came…
First they came for the communists, and I did not speak out—
because I was not a communist;
Then they came for the socialists, and I did not speak out—
because I was not a socialist;
Then they came for the trade unionists, and I did not speak out—
because I was not a trade unionist;
Then they came for the Jews, and I did not speak out—
because I was not a Jew;
Then they came for me—
and there was no one left to speak out for me.

Based on a speech by Martin Niemöller on January 6, 1946.
 
Back
Top Bottom