Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Basi ngoma draw. Kila mmoja yupo sahihi. Na hii hujaambiwa ni kwenye page ya simba. Haya mashindano yanaoneshwa hadi ulaya na marekani. Sasa huoni ni njia ya kutangaza? Au hilo hulifahamu? Ulidhani wanapost tu kwnwye page za simba insta na facebook?😁Mimi sina takwimu yeyote na ndio maana sikuegemea katika msimamo wowote. Ukitoa msimamo unaohusisha data basi ni lazima uthibitishe msimamo wako kwa kutoa takwimu. Idadi kubwa ya wafuatiliaji wa Simba ni watu wasio watanzania ukilinganisha na watanzania. Hivyo ili isionekane ni hisia atupe takwimu inayoonesha hayo aliyoyasema