Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,801
- 8,786
Klabu cha Simba kimeweza kuisaidia Tanzania kujitangaza kwa bila malipo huku ukivaa fulana zao kifuani zikiwa na neno VISIT TANZANIA tukiiga kutoka kwa VISIT RWANDA.
Ni jambo jema sana Simba wanafanya kama ni kweli hakuna malipo. Lakini Rais wetu anapigia debe sana Kiswahili kuwa kijulikane na tumepata bahati hii ya kubebwa na Simba SC.
Kwanini tusitumie neno KARIBU TANZANIA?
Ni jambo jema sana Simba wanafanya kama ni kweli hakuna malipo. Lakini Rais wetu anapigia debe sana Kiswahili kuwa kijulikane na tumepata bahati hii ya kubebwa na Simba SC.
Kwanini tusitumie neno KARIBU TANZANIA?