Tunakumbuka alipeleka shs.100bln.Hii alisema wakati anafungua tawi la bank ya KCB Himo-moshi tunakumbuka vizuri sana, tuvute subira
Kitendawili? Tega!
Hivi pesa za kilimo kwanza kupitia TIB unadhani ni nia thabiti ya kukisupport kilimo chetu Tanzania? Tusubiri baada ya uchaguzi tuone!
Yangu Macho!
Bomu jingine linawasubiri CCM ni la TANROADS -- kama alivyotdokezea Dr Slaa akiwa maeneo ya Kasulu. mabilioni ya hela za kujenga barabara yamegawiwa wagombea ubunge wa CCM -- na mmoja wao namfahamu -- simtaji sasa hivi. Natafuta wakati muafaka.