Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,787
- 30,084
TUSOME HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA
Hawa vijana wamevutiwa sana na historia ya Abdulwahid Sykes wameagiza vitabu hivyo kutoka Dar es Salaam.
Hawa vijana wako Shinyanga.
Wana nakala pia ya kitabu cha Rajabu Ibrahim Kirama.
Hawa vijana wamevutiwa sana na historia ya Abdulwahid Sykes wameagiza vitabu hivyo kutoka Dar es Salaam.
Hawa vijana wako Shinyanga.
Wana nakala pia ya kitabu cha Rajabu Ibrahim Kirama.