Yeah! peter kashaingia ila Leah inabid apiganie nafasi yake la sivyo anarudi Bongo kusubiri kumpigia kura Dr Slaa......
Nasikia Leah Muddy na Peter Msechu toka Tanzania wapo... Zaidi ni baada ya uzinduzi kukamilika.
Kwa walio nyumbani waangalie TBC1
asante mkuu kwa hii habari nyeti....sasa kuhusu lugha itakuwaje? au haijalishi?