Tusiyoyajua kikao kati ya madiwani waasi wa chadema na kamati ya marando.....

Kumbe mtangazaji aloitoa anaitwa david rwenyengera,huyu tunamjua cku nyingi.ni ant_cdm na anatumika sana na chatanda.juzi nlimuona na aliyekua diwani ras wa kaloleni
 
Kumbe mtangazaji aloitoa anaitwa david rwenyengera,huyu tunamjua cku nyingi.ni ant_cdm na anatumika sana na chatanda.juzi nlimuona na aliyekua diwani ras wa kaloleni

Sasa hapo naanza kuelewa,maana alikuwa analishikia bango sana hili tukio,na amelirudia kama mara tatu hivi,akidai kuwa kuna watu wanampigia simu kuwa hawajasikia vyema...Na juzi alikuwa akiongelea suala ya Dr Mwakyembe akawa anaongea kama vile anadharau madai ya Dr na kumkejeli vile..kwa kusema inawezekana waliomlisha sumu ni ndugu wa karibu wa Dr....
 
....Leo kwa mara ya kwanza nimesikia kituko kilichotokea kwenye kikao cha kamati ya Marando iliyoundwa kusimamia suala ya madiwani waasi wa CDM-ARUSHA ambacho sidhani kama kiliwai sikika.

...Inasemekana baada ya wale madiwani kuitwa kwenye kikao kile,kiongozi wao alikwenda duka la vitabu vya Mungu yaani BIBLIA(Jina la duka limeifadhiwa) na kununua BIBLIA moja yenye cover lenye zipu.Baada ya kununua aliipeleka kwa mtumishi mmoja wa Mungu aka Mchungaji(Jina limeifadhiwa) ili aiombee,na baada ya kufanya hivyo akaelekea kwenye kikao cha ile kamati.Baada ya kupewa nafasi ya kuzungumza huyu jamaa akafungua BIBLIA yake na kuanza kuzungumza maneno haya wakati anaichana baadhi ya kurasa za ile BIBLIA na hapa namnukuu;

"MUNGU kama nilipokea shilingi mia kwa ajili ya muafaka huu,basi ile hela itakuwa imechangamana na damu zetu,tunaomba uikaushe,na MUNGU kama kuna mmoja wetu alipokea hata shilingi mia na kuichanganya na zake,basi kausha hela zote na usimpatie nafasi ya kupata tena,vinginevyo kama kuna mtu hanatumia jukwaa hili kutuchafua,basi umnyime sauti na jukwaa la kutuchafua sisi"


Wakati akiongea maneno hayo alikuwa akichana baadhi ya kurasa za BIBLIA.Na baada ya kumaliza aliifunga BIBLIA yake na kuikabidhi kwa kamati ya Marando na kumwambia naomba akifikishe kwa Dr Slaa.

Mytake:
Huyu diwani alikuwa na ujasiri gani wa kufikia kiwango cha kuchana BIBLIA na kutoa viapo kama hivyo? Na je anadhani Mungu uwa anashughulika na watu wasiotaka kufuata utaratibu? Kutofuata utaratibu wa chama ni dhambi pia kwa Mungu,maana huo ndio utaratibu mliokubaliana kama chama na unapaswa kuheshimiwa na kila mmoja.Lakini pia sidhani kama ishu ni rushwa ya hela tu,hata ukikubali kurubuniwa kwa maneno ili upate cheo fulani pia ni rushwa.Dua la kuku alimpati mwewe!!!

source : Radio Five-Arusha

Huyo mtu anatabia za ki'Nigeria kweli..
 
Afu mleta mada anatumiwa na hao wazandiki
mleta Mada mm namtetea kwani nimesikia ktk Radio 5 arusha leo asubuhi ni kweli kuna matatizo hasa hapo arusha na arumeru km radio ilivyotamka, kuna makundi ndani ya vyama na viongozi kujiona waungu mtu
 
Kumbe mtangazaji aloitoa anaitwa david rwenyengera,huyu tunamjua cku nyingi.ni ant_cdm na anatumika sana na chatanda.juzi nlimuona na aliyekua diwani ras wa kaloleni
Mtangazaji ni mzuri sana kwamza kaanza kuikosoa CCM, baadaye akazungumzia MADIWANI JE? MNATAKAJE TUSIISIKILIZE RADIO 5 ARUSHA KWA KUWA NI MPINGA CDM?
sasa hivi kupata Station asubuhi isiyokuwa na udaku ni nadra sana imebaki Radio 5 tu, km unataka umbea zipo mwacheni David na sumary watujuze na wengineo wa Redio 5 nawapa hongera sana
arusha kwa ujumla pagumu kisiasa kuna makundi na ukabila toka enzi za wabunge wa awali
 
Back
Top Bottom