ayubuchacha12
Member
- May 8, 2012
- 19
- 7
:clap2:
Rais na viongozi wengine wa taifa hili wachaguliwe kwa kupitia mitihani, wapewe mitihani wafanye na atakayeonekana ana IQ kubwa kuliko woote Tanzania ndiye awe rais, wa pili awe makamu wa rais na kuendelea.
Richa ya IQ pia uadilifu uwe kigezo, kama mtu alishawahi kuiba au kukosa uadilifu wa namna yeyote ile kwa taifa hili asipewe urais hata kama ana IQ kubwa kuliko woote.
Rais na viongozi wengine wa taifa hili wachaguliwe kwa kupitia mitihani, wapewe mitihani wafanye na atakayeonekana ana IQ kubwa kuliko woote Tanzania ndiye awe rais, wa pili awe makamu wa rais na kuendelea.
Richa ya IQ pia uadilifu uwe kigezo, kama mtu alishawahi kuiba au kukosa uadilifu wa namna yeyote ile kwa taifa hili asipewe urais hata kama ana IQ kubwa kuliko woote.