Tusiwadanganye wafanyakazi. CHADEMA haijawahi kuhudhuria Sherehe za Wafanyakazi kwa miaka mitano

Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.

Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Mnavyopenda kuongea nyuma ya mikamera kuna hajagani kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi,Hata hivyo huwezi kujua matatizo ya wafanyakazi kwakuhudhuria sherehe za wafanyakazi matatio ya wafanyakazi yanatatuliwa mezani mengine yapo kisheria
 
MTOA POST ANASEMA CHADEMA HAWAJUI MATATIZO YA WAFANYAKAZI KWASABABU HAWAJAWAHI KUKUTANA NAO.
KWANI HAJUI VIONGOZI WA CHADEMA WANA WAUME ZAO AU WAKE ZAO AU WATOTO WAO AMBAO NI WAFANYAKAZI WA SEREKALI? HALAFU KWANI CHANGAMOTO ZA WAFANYAKAZI SI ZINAJULIKANA TUU KWANI NI SIRI?
 
Sijaiona mkuu. Ipo kwenye dakika ya ngapi?
CHADEMA Ilani yao ni hiyo iliyotangazwa kwenye Mkutano wao Mkuu, nadhani hajapigwa chapa na ndiyo maana kwenye mikutano ya kampeni kila mgpmbea anaongea na kujinadi kivyake. Km mgombea Urais yeye, kama mwanasheria anajinadi kuhusu Katiba ya JMT, M/Rais kama mwanahabari ni uhuru wa habari; na wabunge wanatoa ahadi za maendeleo ya vitu. KAZI KWELIKWELI!!!
 
Waliohudhuria na kualikwa kama wageni rasimi kwa miaka yote toka 2015/ wamesaidia nini wafanyakazi?
 
Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.

Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Hizi sherehe za wafanyakazi zinaratibiwa na CCM kutokana na viongozi wa wafanyakazi kuwa makada wa CCM, na ndiyo sababu inawafanya wasiweze kuilazimisha serikali iwajali wafanyakazi, kwa kifupi hakuna chama cha wafanyakazi zaidi ya chama hicho kuwaongezea mzigo wafanyakazi kwa kuwatoza kodi zaidi!
 
CHADEMA Ilani yao ni hiyo iliyotangazwa kwenye Mkutano wao Mkuu, nadhani hajapigwa chapa na ndiyo maana kwenye mikutano ya kampeni kila mgpmbea anaongea na kujinadi kivyake. Km mgombea Urais yeye, kama mwanasheria anajinadi kuhusu Katiba ya JMT, M/Rais kama mwanahabari ni uhuru wa habari; na wabunge wanatoa ahadi za maendeleo ya vitu. KAZI KWELIKWELI!!!
Aisee basi kazi ipo!
 
Kwa hiyo wale wote wanakuwage Ccm wee matacc...??? Na kujua shida za wafanyakazi sio lazima uende kwenye siku ya sikukuu yao wafanyakazi wana matatizo mengi mafiii wew..
 
Naona unateseka ?

Kwa wakati tulio nao ulivyo critical kwa mstakabali wa taifa letu na unaamua kuja hoja dhaifu iliyokaa kimajungu tu - mkuu unakua hauja tutendea haki kabisaaaaa
 
Hapo ni sawa na kuuliza “lini Chadema ilikutana na CCM?”. TUCTA ni taasisi ya CCM, huoni ni mwenyekiti wa CCM tu ndio hualikwa kama mgeni rasmi??
Miaka mitano nyuma hali ilikuwaje?
 
Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.

Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Na kwa miaka 5 watumishi wameteswa!
 
Back
Top Bottom