Chadema hawaudhurii mikutano ya wafanyakazi? Wewe ulikuwapo kwenye mkutano huo ebo.pole sana...ila waambie Chadema mwaka huu hawana agenda
Chadema hawaudhurii mikutano ya wafanyakazi? Wewe ulikuwapo kwenye mkutano huo ebo.pole sana...ila waambie Chadema mwaka huu hawana agenda
Sisi waalimu woote tumesha kata shauri kwa pamoja kuikataa ccm na kura zetu tunaipigia cdmKujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Ccm ajenda zenu ni zipi?pole sana...ila waambie Chadema mwaka huu hawana agenda
Mikutano ya wafanyakazi au ya ccmKujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kuwasomesha namba watz,hawana sera thus wanajipitisha bila kupingwa uliona wapi dunianiCcm ajenda zenu ni zipi?
Hapo nimekuelewa mkuuKuwasomesha namba watz,hawana sera thus wanajipitisha bila kupingwa uliona wapi duniani
Adui namba moja wa taifa hili ni CCMKujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Takwimu zisizo rasmi zinaonyesha kwamba Watumishi wa umma wapo Kama 500,000/- nchi nzima bado ni kundi Dogo sana linaloweza kukupa jamo theluthi ya Kura.Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Hivi hili la kuongeza mishahara hulioni? Kutapeliwa na CCM Tena tumechoka.Kwanza kwenye ilani ya CCM mambo ya maslahi ya wafanyakazi hakipo Kipengere hichopole sana...ila waambie Chadema mwaka huu hawana agenda
Kujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
kuhudhuria ndo kujua hujui kuwa dunia ni kijiji sherehe zote za mei mosi huwa live hata ukiwa marekani waweza jua nini kinaendelea acha ushambaKujua shida za wafanyakazi ni pamoja na kuhudhuria kwenye sherehe za wafanyakazi ili kujua kikamilifu matatizo ya wafanyakazi.
Leo hii ukisimama jukwaani ili kuvutia kura unajidai unawapenda wafanyakazi ni ulaghai wa kiwango cha utopolo(samahani mashabiki wenzangu wa yanga)
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
kwa nini mlisusa?yaani leo kwenye uchaguzi ndio mnaibuka kujidai mnawapenda wafanyakazi??kuhudhuria ndo kujua hujui kuwa dunia ni kijiji sherehe zote za mei mosi huwa live hata ukiwa marekani waweza jua nini kinaendelea acha ushamba
Unatumia nguvu kubwa sana hadi nakuhurumia aisee.Unayechoka ni wewe...siwezi kuchoka kuutetea umma
Ni ww umepandishwa. Wengine je? Au sababu umepandishwa ww basinunadhani wote wamepandishwa.mbona mimi mtumishi wa umma nimepandishiwa??