nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 647
Niwasii ndugu zangu tutakuwa hatujatumia akili kwa kiwango cha PhD eti mtu amejiuzulu Ubunge halafu arudi pale tumchague au agombee sehemu nyingine tumchague kama angekua na umuhimu wa kuendelea kuwatumikia asingekuwa na tamaa za kijinga