VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Nafatilia sana hotuba zake zote, anaonekana kwa ujasiri ule wapo watu/mtu mzito nyuma yake si bure.
Anawakilisha mawazo na mtazamo wa mamlaka za juu sana za uongozi wa taifa letu.
Endapo maalamka za juu zina fikiri wale wote wanaofikiri na kutoa mawazo na mtazamo mbadala ni wasaliti! Na adhabu yao wanasitahili kuzimishwa na kupotezwa,( Kuuwawa) Rejea hotuba yake leo:..." ....poteza 2 million 2 wawe Salama..."
Hivyo huenda kutekwa,kupotezwa,kuuwawa ni Sera halali utawala Awamu hii!?
Mbona Kafulila aliibua tuhuma Escrow na baada kuthibitika hadi leo yupo hai na analitumikia taifa!?
Maoni yangu Tuache fikra finyu wakosoaji wengi wana dhamira njema kujenga na kuboresha umoja wa taifa letu.
Anawakilisha mawazo na mtazamo wa mamlaka za juu sana za uongozi wa taifa letu.
Endapo maalamka za juu zina fikiri wale wote wanaofikiri na kutoa mawazo na mtazamo mbadala ni wasaliti! Na adhabu yao wanasitahili kuzimishwa na kupotezwa,( Kuuwawa) Rejea hotuba yake leo:..." ....poteza 2 million 2 wawe Salama..."
Hivyo huenda kutekwa,kupotezwa,kuuwawa ni Sera halali utawala Awamu hii!?
Mbona Kafulila aliibua tuhuma Escrow na baada kuthibitika hadi leo yupo hai na analitumikia taifa!?
Maoni yangu Tuache fikra finyu wakosoaji wengi wana dhamira njema kujenga na kuboresha umoja wa taifa letu.