Tusitetee uovu, Mbowe hayuko juu ya sheria. Kama ana makosa tuache sheria ifuate mkondo

Wewe ni mgeni na mambo yanayotendeka nchi hii. Hata mtoto mdogo anajua kwamba amebambikiwa kesi. Kuitwa “gaidi” aisee hapana hata kidogo. Wangetafuta hata kosa lingine. Hii itawatesa sana polisi maana dunia nzima wanajua hilo.
Wewe unaogopa dunia? Kwa hiyo nchi ishindwe kuendesha mambo yake kisa kuangalia dunia itasema nini? Jiamini mzee, nilikuwa na wasiwasi na Samia mwanzoni kama anaweza kuwa na misimamo, now kanitoa huo wasiwasi. Mbowe atapelekwa mahakamani kujibu tuhuma zake, hapo ndipo kila kitu kitawekwa wazi. Kama hana kosa ataachiwa. BTW sifurahii mtu yeyote kukaa mahabusu, kule ndani hakufai
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Kwani polisi wapo juu ya sheria?
 
Kosa la ugaidi ni kubwa sana, unakamatwa popote, muda wowote na wanaweza kukaa na wewe muda wowote bila kukupeleka mahakamani. Tena walimuhurumia, nchi nyingine kosa kama hilo order ya kukamatwa kwako inakuwa ni "Shoot to kill".
Kwa sheria ipi hiyo tunaendeshwa kwa mujibu wa sheria siyo maamuzi ya watu,kwani aliitwa polisi akakataa kwenda acheni mambo ya ajabu tunaendeshwa kwa sheria zetu siyo utashi wa watu?
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
HAKUNA ANAYETETEA UOVU ILA UBAMBIKIAJI WA KESI UNAOFANYWA NA POLISI NDICHO KINACHOLALAMIKIWA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.
My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Hivyo chagu pekee ndiye alive juu ya sheria sio,kiasi hata chakumbikia vyesi sio.
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Mbona kukamatwa kwake hakukuzingatia misingi ya sheria?
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
kosa gani amelifanya? kudai katiba huru kosa?
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Mnaanza kukamata ndio mnatafuta kosa la kihalifu au mnajua uhalifu wa mtu husika ndio mnamkamata?

Mnachekesha sana mpaka sisi tusio na upande tunawachukulia wehu sana. Eti mmemkamata mtu ndio mnaanza kutafuta uhalifu wake. Maajabu ya dunia haya
 
Duh! Mbowe kawapa upofu wa ubongo wafuasi wake! Babu Seya alipohukumiwa tulimuona akiwafilimba wale watoto?
Jibu kama hili linakuondolea heshima ndogo uliyobaki nayo.

Nikuulize swali rahisi, kwani natambua nikiuliza gumu utapata shida kutokana na mwelekeo wa ufikiri unavyouonyesha hapa. Ni mahakama gani imemhukumu Mbowe?
Naendelea kusema, hulitendei haki hilo jina lako.
 
Mtoa post kaa ujitafaakari, Mbowe anaishi Dar es salaam, Polisi wanapajua nyumbani kwake, kilichowafanya waingie garama za kusubiri aende Mwanza ndio wamrudishe Dar ilikua ni nini? Mbona mnawafanya Watanzania kama Makanjanja?
 
Mtoa post kaa ujitafaakari, Mbowe anaishi Dar es salaam, Polisi wanapajua nyumbani kwake, kilichowafanya waingie garama za kusubiri aende Mwanza ndio wamrudishe Dar ilikua ni nini? Mbona mnawafanya Watanzania kama Makanjanja?
Uhalifu ni suala mtambuka.
 
Sheria zipo na zipo kwa wote kama mtu kafanya kosa basi sheria ifuate mkondo , maana sio kila mtuanamjua huyp Mbowe kiundani zaidi anaweza kuwa mwanasiasa lakini akawa mtenda maovu maana sio malaika, tuvute subira ukweli utatamalaki.
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
Ni kama wewe unavyomtia hatiani as if wewe ndiyo mahakama au unaona polisi ni miungu hawawezi kumbambikizia mtu kesi? ghrrrr
 
Huku ni kukosa busara na hekima. Kutaka kuaminisha watu kuwa Mbowe hawezi kuwa mhalifu ni kukosea.

Hili taifa lina vyombo ambavyo vinahusika na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa.

Kwamba amekamatwa sababu ya kudai katiba sio hoja. Uhalifu ni suala mtambuka. Mtu anaweza kudai katiba huku anatenda uhalifu. Tuache sheria ufuate mkondo na kama ana hatia au hana tutafahamu.

My take: Rule of law means that the law governs a nation.
siku hizi cdm hata wakikosea hawataki kukamatwa, na wameshikilia hilo kama ndio ngao, ukiwakamata tu wanasema siasa, na kwasababu hiyo wanatumia kivuli hicho kufanya maovu mengi tu, na dharau juu.
 
Back
Top Bottom