Naona umetuletea ushahidi wa 2015
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umetuletea ushahidi wa 2015
1. CCM wanaweza fanya yao.
2. Wapinzani wanaweza kuprint karatasi pia kuleta taharuki.
3. Mtu binafsi pia anaweza kuprint akaleta taharuki.
Hizi kura wanasema zimekamatwa kwenye lori,, leteni picha ya tukio zima tokea mnanza kuzikamata. Mshajua mmeshindwa mnaanza kuleta maigizoUnawauliza mtuhumiwa kwani wao polisi, kama ni ushahidi huu hapa kazi ya kumkamata mtuhumiwa ni ya polisi.
View attachment 1614903View attachment 1614904View attachment 1614905
Amini kuwa zimetengenezwa ili kuchafua uchaguzi,, we hujiulizi kwann unapata picha za kura tu ila za aliyekamatwa nazo hupati?Unadhani watapoteza muda kuangalia makaratasi ambayo yameandikwa namba ya mpiga kura na ambayo hayaandikwa?.
Alafu ishu sio kuziingza hizo kura feki.
Ishu ni kwanini zimetengenezwa na zikiwa tayari na tiki kwa magufuli?
Huku vijijini ni aibu,sehemu kubwa mawakala wa upinzani wametimuliwa,wameruhusiwa kuingia mchana,ninachokiona ni watu kulalamikia tu majumbani,niwe mkweli na ccm humu wajue,wamejidhalilisha sana kwa huu uchaguz,huku nilipo vyama vya upinzani vinapumulia mashine hivyo ccm hawakuwa na haja ya kutumia nguvu kubwa,lakin kwa kilichotokea leo watu wamewadharau sana.
Mambo hadharani.
Sasa Sijui huko vijijini wamepeleka kura feki ngapi?.
Shikamoo CCM
Tume ni shetani la ccmIla kura zote fake zina muhuri OG wa tume, kwa hali ya kawaida mpinzani au raia wa kawaida hawezi kuwa na acess ya muhuri wa tume...tume ni muhusika mkuu kwa kushirikiana na ccm
We nawe kwani hujawahi kusikia watu wamekuwa na mihuri ya taasisi mbalimbali za serikali....Ila kura zote fake zina muhuri OG wa tume, kwa hali ya kawaida mpinzani au raia wa kawaida hawezi kuwa na acess ya muhuri wa tume...tume ni muhusika mkuu kwa kushirikiana na ccm
Kama wapi?Ina maana pia huna habari ya kuwa kuna baadhi ya vituo wasimamizi/mawakala wametolewa kwa nguvu.
Kama kigogo anaeza access habari nyeti za serikali, mbona muhuli ni kitu kidogo sana kuupata. Hizo kura wametengeneza wao wenyewe CHADEMA.Ila kura zote fake zina muhuri OG wa tume, kwa hali ya kawaida mpinzani au raia wa kawaida hawezi kuwa na acess ya muhuri wa tume...tume ni muhusika mkuu kwa kushirikiana na ccm
Kwani vyma pinzani mawakala wake wako wapKura feki zimeingizwa vituoni kupitia wasimamizi wa uchaguzi ambao ni makada, pia baadhi ya mawakala wa CCM
Wangekuwa wanaamini kuna kushinda , wasingeshiriki ni kupoteza mudaBinafsi upinzani ukishindwa wala sitawalaumu maana wamepambana na mengi.
Kura feki,NEC ZEC,Polisi na CCM wenyewe.
Mtuhumiwa na ushahidi viko wapi??