Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu zangu wanaJF,
Watu wengi nilioongea nao kuhusu sakata la Shigela na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Sumaye wamesikitishwa sana na matamshi ya shigela. Wanasema kuwa bwana mdogo ameonesha utovu mkubwa wa nidhamu. Ongea yake ya jeuri inaonesha kuwa kuna mamlaka inayompa nguvu na kwa maoni ya wengi wanasema nguvu hiyo ni mwenyekiti wa chama. Kwa maneno mengine, tabia ya shigela ni matunda ya uongozi mbovu wa mwenyekiti wa chama.
Siju wengine mnasemaje?
Watu wengi nilioongea nao kuhusu sakata la Shigela na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Sumaye wamesikitishwa sana na matamshi ya shigela. Wanasema kuwa bwana mdogo ameonesha utovu mkubwa wa nidhamu. Ongea yake ya jeuri inaonesha kuwa kuna mamlaka inayompa nguvu na kwa maoni ya wengi wanasema nguvu hiyo ni mwenyekiti wa chama. Kwa maneno mengine, tabia ya shigela ni matunda ya uongozi mbovu wa mwenyekiti wa chama.
Siju wengine mnasemaje?