Hii ni kwa taarifa ya kambi ya mwinyi, ila kambi ya mkapa na magu, hata raundi ya pili hafiki kama lowasa tu, lzma wamkatemwinyi jr. 2025 kwa taarifa yako!!..
Kwenye mwendo kasi..Mtoa mada hii ndoto uliota ukiwa umelala kwenye kiti au kitandani?
CCM makarai inazidi kuimarika kundi la wakuja kina Kitambi nao wamepata kiongozi.Dr slaa anaenda kuichafua chafua ccm
Swissme
Kweli ni ya kimwendo kasi.Kwenye mwendo kasi..
Wakati huo Slaa atakuwa Mzee anayesubiri kutangulia maana atakuwa anatumia ile miaka ya pension!Naona kma maandalizi ya kumuandaa ndo yameanzia hapo, kwa kukaribishwa chamani kama balozi ingawa umri unaweza ukawa kikwazo ambapo nahisi karata nyingine ya mpango wa Magu atakuwa mama Mghwira, haitakuwa ajabu kwa hawa watu wawili kuwa wagombeaji...
Naona kma maandalizi ya kumuandaa ndo yameanzia hapo, kwa kukaribishwa chamani kama balozi ingawa umri unaweza ukawa kikwazo ambapo nahisi karata nyingine ya mpango wa Magu atakuwa mama Mghwira, haitakuwa ajabu kwa hawa watu wawili kuwa wagombeaji...
DuhNI SAWA NA KUSEMA RUGE AMEBADILIKA AMEKUWA SUGU NA YUPO MAGEREZA
MlemleAwamu ijayo ameandaliwa Majige Madirisha Matogoro.
Atafungua supermarket nchi nzimaHeri wampe Makonda, huyo mzee ataiacha nchi
Mkimsikia Slaa inawauma, kweli clouds wako sawa, mnataka mada zinazo base tu upande wenu, piga kimya kuliko kuonesha mihemko yako.
Ndo nani huyo mkuu?Mlemle