kilagalila
JF-Expert Member
- Nov 8, 2018
- 320
- 154
"Tusishangae mwanasiasa kuhama chama, tunatambua siasa ina gharama zake za ushawishi, nidhamu na kuwaletea maendeleo wananchi. Hivyo, ni lazima mwanasiasa akae sehemu yenye amani ili amudu majukumu yake.
Kila la kheri Cecil Mwambe, Katani Ahmad Katani.
#CDE Titho Stambuli_Afisa Tarafa Mchauru