zanzsco
Senior Member
- Aug 21, 2011
- 161
- 45
Kuna dada mmoja ametokea kwenye familia duni na alitolewa kijijini na ma frend na akawa anamsaidia kazi zake....
kwa bahati nzuri akampata mume pesa imetakata thru ma frend........
Sasa ameanza mashauzi kuwa haweza panda daladala tena na kula ovyo.....
tukitoka as double even triple dates with ha n ha heart anasema yeye kazoea salady tu sio ugali,wali even meat hataki!!!!!!!!!!!!!!!! kula kwa mapozi kitu nyanya inakatwa kwa umma ndo iliwe eti atachafua lips............ usista do mpaka basi!!!!!
nikikumbuka alipotoka nabak kumwoenea huruma cjui akiachika ataenda wapi coz ndoa yanyewe c halali ila amelipiwa mahari..............
Kweli pesa hubadili watu na tabia zao. namwomba Mungu hata niwe tajiri vipi niwe normal as a human being.....
BEING RICH MEANS YOU HAVE TAKEN MORE FROM THE UNIVERSE EVEN THE POOR SHARE........
''A DOWN FALL OF A MAN BEGINS WHEN HE FORGETS WHERE HE CAME FROM'' TB JOSHUA.
kwa bahati nzuri akampata mume pesa imetakata thru ma frend........
Sasa ameanza mashauzi kuwa haweza panda daladala tena na kula ovyo.....
tukitoka as double even triple dates with ha n ha heart anasema yeye kazoea salady tu sio ugali,wali even meat hataki!!!!!!!!!!!!!!!! kula kwa mapozi kitu nyanya inakatwa kwa umma ndo iliwe eti atachafua lips............ usista do mpaka basi!!!!!
nikikumbuka alipotoka nabak kumwoenea huruma cjui akiachika ataenda wapi coz ndoa yanyewe c halali ila amelipiwa mahari..............
Kweli pesa hubadili watu na tabia zao. namwomba Mungu hata niwe tajiri vipi niwe normal as a human being.....
BEING RICH MEANS YOU HAVE TAKEN MORE FROM THE UNIVERSE EVEN THE POOR SHARE........
''A DOWN FALL OF A MAN BEGINS WHEN HE FORGETS WHERE HE CAME FROM'' TB JOSHUA.