Tusisahau: Tanzania ni kubwa kuliko Kenya, Uganda, Burundi na Rwanda ukiziweka pamoja

Miaka 60 hatjjaweza tujekuweza leo,huo utakuwa ni wivu na roho mbaya kisa wenyewe tumekuwa wazembe na wavivu.
Ni kweli na najua. Hili linahitaji commitment ya hali ya juu sana ambayo pengine hatuna. Siyo viongozi kama kina Ndungai wataweza hili jambo. Lakini kama tumeshindwa hilo, wewe unafikiria la wawekezaji tutaweza? Tena ndiyo tutafeli kweli kweli. Uwekezaji siyo tu watu wenye mitaji kuja. Kuna zaidi ya hilo.
 
Binafsi nakubaliana kabisa kwamba ni muhimu sana kuwa na mahusiano mazuri na majirani zetu.

Lakini sikubaliani na huu mtazamo kuwa tukiruhusu wakenya wamiminike 'kuwekeza' kwenye kila sekta wanayoona inafaa, ati ndo tunapiga hatua za kimaendeleo!

Kama taifa tuwekeze kwenye elimu, bila hivyo natanguliza pole kwa washangiliaji wanaamini kuwa walewale waliokuwa wanashirikiana na meko kuharibu ghafla wamepata akili za kurekebisha....unafiki haujengi.
 
Kuna kitu wewe na watu wengi mnadhani ndiyo silver bullet ya matatizo yetu. Nyie mnadhani solution ni kuita wawekezaji kwa wingi. Hili mimi sikubaliani nalo hata kidogo...
Sidhani kama mama ataruhusu wawekezaji ilimradi tu. Lakini sidhani hata hicho kilimo unachokiongelea kama unakijua vzuri mkuu. Mm ni miongoni mwa mkulima ninayelima wastani wa hekari zipatazo 50 kwa mwaka lakini kwa miaka ya magufuli hakikua kilimo chepesi kwangu mm na wakulima wengine.

Tatzo kubwa la kilimo chetu ni ishu ya bei ya mazao, tutazunguka koote cjui pembejeo oooh kilimo cha umwagiliaji lakini kama hatutakuwa tunafungua mipaka tukauza nje itakuwa ndogo tu. Hivi gharama ya kuhudumia shamba mpaka unavuna unakijua vzuri kweli wewe au unasubiri sijui kilimo cha Aina gani ili tutafute masoko mazuri.

Tuanzie kilimo hiki tulichonacho kutafuta masoko nje bei ikiwa nzuri tutalima hata hekari miambili. Sio kila siku tuwekeze kwenye kilimo, kilimo. Inakuwa kama wimbo wa taifa.

Watu tunamipunga na mahindi bei ya kuuzia ukilinganisha na gharama za kuhudumia shamba tena kwa kuwalalia vibarua bado hailipi ni Bora mtu uhifadhi pesa bank tu uvizie hata vibiashara na ununuzi wa mazao angalao utakuwa na uhakika na mtaji ulionao.
 
Kuna kitu wewe na watu wengi mnadhani ndiyo silver bullet ya matatizo yetu. Nyie mnadhani solution ni kuita wawekezaji kwa wingi. Hili mimi sikubaliani nalo hata kidogo...
Sidhani kama mama ataruhusu wawekezaji ilimradi tu. Lakini sidhani hata hicho kilimo unachokiongelea kama unakijua vzuri mkuu. Mm ni miongoni mwa mkulima ninayelima wastani wa hekari zipatazo 50 kwa mwaka lakini kwa miaka ya magufuli hakikua kilimo chepesi kwangu mm na wakulima wengine.

Tatzo kubwa la kilimo chetu ni ishu ya bei ya mazao, tutazunguka koote cjui pembejeo oooh kilimo cha umwagiliaji lakini kama hatutakuwa tunafungua mipaka tukauza nje itakuwa ndogo tu. HV gharama ya kuhudumia shamba mpaka unavuna unakijua vzuri kweli wewe au unasubiri sijui kilimo cha Aina gani ili tutafute masoko mazuri.

Tuanzie kilimo hiki tulichonacho kutafuta masoko nje bei ikiwa nzuri tutalima hata hekari miambili. Sio kila siku tuwekeze kwenye kilimo, kilimo, Inakuwa kama wimbo wa taifa.

Watu tunamipunga na mahindi bei ya kuuzia ukilinganisha na gharama za kuhudumia shamba tena kwa kuwalalia vibarua bado hailipi ni Bora mtu uhifadhi pesa bank tu uvizie hata vibiashara na ununuzi wa mazao angalao utakuwa na uhakika na mtaji ulionao.
 
473131.jpg

Uwekezaji wa Nje na ndani uko salama hakuna tena mtu atakaeibiwa fedha zake Benki na Familia ya Magumashi.
 
Duh nimeingia chimbo ngoja tuone

Tanzania Km² 945,000
Kenya Km² 580,000....
Marais wao ndio waliotakiwa kuja Tanzania kujitambulisha Kwa mama..not the other way around... Magu alikua na downsides zake lakini katika kujimwambafai alikua top notch.

Kuna kipindi strategy ya kujiona fahari inasaidia sana. we should be a donar kantri..sio kuomba SULUHU Kirahisi, tuna hips na makalio makubwa, tutembee Kwa madaha na tusikalie uchumi.
 
Marais wao ndio waliotakiwa kuja Tanzania kujitambulisha Kwa mama..not the other way around... Magu alikua na downsides zake lakini katika kujimwambafai alikua top notch.

Kuna kipindi strategy ya kujiona fahari inasaidia sana. we should be a donar kantri..sio kuomba SULUHU Kirahisi, tuna hips na makalio makubwa, tutembee Kwa madaha na tusikalie uchumi.
Kuwa na nchi kubwa sio kila kitu duniani, wacha nikupe mfano wa karibu. Kenya ni nchi ndogo sana, sisi hatuna zile rasilimali ambazo nyinyi mlibarikiwa nazo.

Lakini Kenya inaongoza kwa uwekezaji nchini tz huku afrika nzima. Ni muhimu mama akaja nairobi na kuketi na ndugu yake na kuongea.
 
Kuna mijitu mioga humu mpaka unaionea hutuma,tutaogopa Hadi lini? Wakenya kwa sasa wanatuhofia Sana speed yetu inawatisha lakini sisi hatutaki kujiamini kwa makisudi tu hatutaki kujitambua kuwa tumekuwa tunapaswa tutoke tukapambane.

Samia tichukue utupeleke angani na UTUACHIE, Mwenye kupaa apae mzembe afiche mbawa zake mwache adondoke.
Matumaini hewa, baada ya kipindi chake uje utoe mrejesho kama ulipelekwa angani au ardhini.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom