Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,478
- 34,747
Miradi mingi ilanzishwa Ila hela ilipigwa , isingekuwa jitihada madhubuti za Maghufuli kurefund hyo barabara usingeiomaView attachment 1224801
Hii ni sehemu ya umati wa wakazi wa mji mdogo wa Laela wilayani Sumbawanga wakiwa wamejitokeza kumsikiliza Rais Magufuli ambaye anatarajiwa kufungua barabara ya Tunduma- Sumbawanga.
Habari ndo hiyoooo