Ibara ya 3(1) ya katiba ya JMT inasema wazi kabisa kuwa Tanzania ni nchi isiyo na dini ya kidemokrasia ambayo inafuata misingi ya vyama vingi.
"Mkichagua upinzani sitawaletea maendeleo"!
"Nikulipe mshahara halafu utangaze mpinzani kashinda"!
Kauli hizo hazijawahi kutolewa na kiongozi yeyote anayeheshimu misingi ya kidemokrasia!
Wananchi wanapaswa kuwa huru kuchagua! Na sio kutishwa kama ilivyotokea!
Mfumo wa Tanzania bado hautoi fursa kwa demokrasia kuchukua mkondo wake!
Sasa angalia ni kamata kamata ya wapinzani ndiko kunakoendelea!
Wala hakuna shida,maisha yanaendelea na serikali ndiyo hiyo mmechukua CCM kuanzia mitaa,madiwani,wabunge hadi Rais!Kwani upinzani mlifungwa midomo kutoa ahadi zenu.. si nanyi mngesema hayo hayo kama wao.. simnajijua mulivyo geza geza..
Mgombea wenu kapata aliyopata.. musherekee.. wabunge waliotanguliza pinga pinga.. tumewapumzisha.. bora wa CCM.. tunajua watasimamiwa vyema..
Miaka nenda rudi.. wengine tumeona upinzani wa TZ.. hauvutii kabisaaaa..
Pongezi kwa 💚💛💚💛💚
Wala hakuna shida,maisha yanaendelea na serikali ndiyo hiyo mmechukua CCM kuanzia mitaa,madiwani,wabunge hadi Rais!
Hakuna tena ile kusema tulishindwa kuleta maendeleo sababu mlichagua upinzani!
Natabiri awamu hii ndiyo itakuwa hovyo zaidi kuliko iliyotangulia!
Relevance!?Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali. Amesisitiza kuwa...www.jamiiforums.com
Kivipi?Wapinzani hawalalamikii idadi ya wabunge...wanalalamikakia zoei la uchaguzi.....
Mimi sio mpinzani lakini kama kuna namna wanaona haikuwa sawa, wasikilizwe...
Kuanzisha mada kama hizi unatakiwa ueleze upande wako wa kisiasa ili ueleweke vizuri..
Demokrasia ipo, watanzania wamejifunza kutochagua utopolo."Mkichagua upinzani sitawaletea maendeleo"!
"Nikulipe mshahara halafu utangaze mpinzani kashinda"!
Kauli hizo hazijawahi kutolewa na kiongozi yeyote anayeheshimu misingi ya kidemokrasia!
Wananchi wanapaswa kuwa huru kuchagua! Na sio kutishwa kama ilivyotokea!
Mfumo wa Tanzania bado hautoi fursa kwa demokrasia kuchukua mkondo wake!
Sasa angalia ni kamata kamata ya wapinzani ndiko kunakoendelea!
Hizo sifa wanazo chama cha Mbowe. Na tayari walishapata malipo yao tarehe 28.CCM inanuka dhambi , it's a bunch of rooten stinking sinners na harufu ya dhambi zenu imesha mfikia Mungu, Sasa subirini mshahara wa dhambi zenu.
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Baada ya wananchi kuchagua CCM na CHADEMA kukosa wabunge ndio ndio mnaleta hoja za kuibiwa kura wakati mlikuwa na mawakala.Hoja ni uchaguzi haramu uliogubikwa na unajisi wa demokrasia, uibaji wa kura, kura feki, kubadilisha matokeo, kuwazuia mawakala, na ushenzi mwingi wa aina hii. Hoja sio wapinzani wangapi wamechaguliwa.
Kakojoe ulale. Hujui yaliyojiri kuhusu mawakala nchi nzima!!!!Baada ya wananchi kuchagua Ccm na Chadema kukosa wabunge ndio ndio mnaleta hoja za kuibiwa kura wakati mlikuwa na mawakala.
Porojo au unaambiwa ukweli? Kwani mtu hawezi kutoa kauli impliedly? Au sababu wewe ni mburula huna akili ndio unadhani kila mtu ni mburula.Nimekuuliza maswali kadhaa hapo juu hujajibu hata moja.Mimi siyo mpenzi wa porojo,kama wewe ni muumini wa porojo kaa mbali kabisa na mimi.Narudia tena kukuuliza,nani kasema kuwa uchaguzi huu una kasoro kwa sababu ya chadema kukosa ubunge?Au umejitungia tu kauli hii ili kujifurahisha wewe pamoja na nafsi yako?Una reference ya kiongozi yoyote wa chadema ambae ametoa kauli ya kikhanithi kama hii?Hii dhana ya kikhanithi umeitoa wapi?
Mtatoa kila sababu,lakini ukweli ni kuwa Chadema wananchi waliikataa tar 28 Oktoa 2020Kakojoe ulale. Hujui yaliyojiri kuhusu mawakala nchi nzima!!!!
Utaelewa vipi wakati huna akili,ila umebahatika kumiliki simu janja.Sijui mimi ndiye sijaelewa au ni lugha ya kisheria kuhusu dini na demokrasia?