Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Hata DRC enzi za Mobutu walikuwa wakipiga kura hata Iraq enzi za Sadam walikuwa wakipiga kura. Kupiga kura siyo kigezo za Demokrasia bali je maamuzi ya hizo kura yanaheshimiwa? Hilo ndilo la msingi.Kama ni hivyo tusingepiga kura tar 28 oktoba 2020.