Tusipotoshane, kulikuwa na sababu za msingi kabisa kwanini Marais waliopita hawakununua ndege kama awamu hii ya tano ilivyofanya

manake hata Australia, Singapore, Japan, Brazil walitawaliwa kama nyie ila wao wakawa na vipaumbele vinavyomake sense. Wakafika hapo walipo.

Wanasema afrika ni kama jungle. Mnaishi kama wanyama.
Ulikuja uzuri but hapa umeharibu, Hao ni walewale tu, walijibadilisha wakajiweka juu!, hayo mafanikio yangeletwa na Aboriginals ningesema sawa, but mzungu?

Africa ni jungle sawa wamesema wao! unalia nini??, haimaanishi kuwa kweli ni jungle!

na sisi pia tusema EUROPE is full of Caucasian caves.

Kuona unanyimwa maendeleo ni akili yako, kwa nini usione km changa moto? kwa hiyo ukinyimwa unaacha?

si uwapige! ili upate upenyo! unataka upewe kwa kubembelezwa? unalaumulaumu tu.
 
Na
Na watu wanapolinganisha uzalendo wa awamu ya tano na Nyerere wasiwe wanasahau vitu kama hiki nilichotaja hapo juu;

Ni Nyerere huyo huyo, miaka ya 1983 - 85 dhahabu ya Bulyanhulu lipogunduliwa kwa ubia kati ya serikali na kampuni za Outo Kumpu na Kone Corp aliwakatalia kugawana faida kwa 49% Tanzania na wao 51% akawaambia Tanzania iwe na 51% na wao 49%. Walipokataa akawaambia kama hawataki waondoke, akisema iacheni hiyo dhahabu ikae huko shimoni, kwani itaoza? Akasema wazi wakati muafaka ukifika tutaichimba hiyo dhahabu, hata kama ni vizazi vyetu vijavyo. (Kwa kusikitisha baadae Mkapa alikubali 5%, wala sio ile 49% aliyokataa Nyerere ili tupewe 51%).
Na kwasababu hii wakaona wamuwaishe mzee wetu akhela wakati aliondoka akiwa bukheri wa afya. Mzee ameondoka na uchungu mkubwa moyoni😭
Hapa ndipo walee wakaanza kujilimbikiza mali, ufisadi ukazaliwa rasmi na rasilimali zikaanza kuporwa kwa mikataba ya kijinga kupitia viongozi wenye tamaa
Pioneer wa haya mambo yote ndie aliyemuweka wasasa, the same history itajirudia kwa mwamvuri wa uzalendo na vita batili juu ya ufisadi na kuwakamua matajiri kwaajiri kwaajiri yake huku akiuwadaa umati wa watanzania kwa miradi yenye asilimia fulani kwenye accounts zake binafsi.
Yote yatakuja kudhihirika, it's just a matter of time
 
Na watu wanapolinganisha uzalendo wa awamu ya tano na Nyerere wasiwe wanasahau vitu kama hiki nilichotaja hapo juu;

Ni Nyerere huyo huyo, miaka ya 1983 - 85 dhahabu ya Bulyanhulu lipogunduliwa kwa ubia kati ya serikali na kampuni za Outo Kumpu na Kone Corp aliwakatalia kugawana faida kwa 49% Tanzania na wao 51% akawaambia Tanzania iwe na 51% na wao 49%. Walipokataa akawaambia kama hawataki waondoke, akisema iacheni hiyo dhahabu ikae huko shimoni, kwani itaoza? Akasema wazi wakati muafaka ukifika tutaichimba hiyo dhahabu, hata kama ni vizazi vyetu vijavyo. (Kwa kusikitisha baadae Mkapa alikubali 5%, wala sio ile 49% aliyokataa Nyerere ili tupewe 51%).
hapa kwenye mikataba ya dhahabu nimeumia sana.yaani kumbe enzi ya mkapa ndio tulikuwa tunapokea 5%.
Sijui sasa hivi tunapokea asilimia ngapi kutoka kwa hawa akina Barick na wengineo?
 
Na

Na kwasababu hii wakaona wamuwaishe mzee wetu akhela wakati aliondoka akiwa bukheri wa afya. Mzee ameondoka na uchungu mkubwa moyoni
Hapa ndipo walee wakaanza kujilimbikiza mali, ufisadi ukazaliwa rasmi na rasilimali zikaanza kuporwa kwa mikataba ya kijinga kupitia viongozi wenye tamaa
Pioneer wa haya mambo yote ndie aliyemuweka wasasa, the same history itajirudia kwa mwamvuri wa uzalendo na vita batili juu ya ufisadi na kuwakamua matajiri kwaajiri kwaajiri yake huku akiuwadaa umati wa watanzania kwa miradi yenye asilimia fulani kwenye accounts zake binafsi.
Yote yatakuja kudhihirika, it's just a matter of time
Nyerere alivuna alichopanda, waswahili wanasema malipo ni hapa hapa duniani.
Maana Nyerere ndio aliyejitengenezea katiba ya kumfanya rais anakuwa mungu mtu, ambayo inampa huyu mungu mtu wa kufanya chochote ikiwa ni pamoja na kumpeleka mtu hospital ukiwa unatembea mwenywe halafu unarudi marehemu. Nyerere ndio huyo huyo aliyempigie dege mkapa kiasi kwamba wengine akawaita mbwa na kuchakachua juu ili mradi mkapa awe rais.
 
Nyerere alivuna alichopanda, waswahili wanasema malipo ni hapa hapa duniani.
Maana Nyerere ndio aliyejitengenezea katiba ya kumfanya rais anakuwa mungu mtu, ambayo inampa huyu mungu mtu wa kufanya chochote ikiwa ni pamoja na kumpeleka mtu hospital ukiwa unatembea mwenywe halafu unarudi marehemu. Nyerere ndio huyo huyo aliyempigie dege mkapa kiasi kwamba wengine akawaita mbwa na kuchakachua juu ili mradi mkapa awe rais.
Hili nakubaliana nawe, na mkapa huyo huyo ndie kampigia chepuo jiwe.....😂
 
hapa kwenye mikataba ya dhahabu nimeumia sana.yaani kumbe enzi ya mkapa ndio tulikuwa tunapokea 5%.
Sijui sasa hivi tunapokea asilimia ngapi kutoka kwa hawa akina Barick na wengineo?
Kweli kabisa. Mkapa aliunza nchi kikwelikweli. KIkwete hakurekebisha kitu. Angalau Magufuli amekuja kurekebisha kwa kiasi kikubwa, huo ni ukweli.
 
Me naomba washushe tu manauli yao ya ajabu yale....... We unanipeleka mwanza kwa 300,000 + hapo..... Na unajua hili ni shirika la taifa langu..... Huo si ni ufala
 
Me naomba washushe tu manauli yao ya ajabu yale....... We unanipeleka mwanza kwa 300,000 + hapo..... Na unajua hili ni shirika la taifa langu..... Huo si ni ufala
Si upande basi tu. Unataka vitu vya gharama bila kuvigharamia kisa vya taifa lako?!?
 
Mimi imeniuma kusikia nyumba ya A H Mwinyi kuwa kikwete alishindwa kuimalizia na mafundi waliondoka site.
Kweli kabisa. Mkapa aliunza nchi kikwelikweli. KIkwete hakurekebisha kitu. Angalau Magufuli amekuja kurekebisha kwa kiasi kikubwa, huo ni ukweli.
 
Me naomba washushe tu manauli yao ya ajabu yale....... We unanipeleka mwanza kwa 300,000 + hapo..... Na unajua hili ni shirika la taifa langu..... Huo si ni ufala
Shirika la taifa nauli juu kufaa watawala wakafukuzwa Fastjet iliyokuwa na bei za wananchi
 
Mie naweza nisiwe na tatizo sana kuhusu Tanzania kununua ndege, ikiwa tuna mikakati madhubuti ya kujiendesha kwa faida na sio tu kutafuta sifa ya kununua Dreamliner mbili. Kinachonikera na kunishangaza ni pale ambapo tunaambiwa hawa waliopita hawakuweza kununua ndege!

Hawa waliopita walikuwa na dhamira safi kiasi kwamba wasingeweza kuvumilia kununua ndege dhidi ya vipao mbele vingine. Nyerere siku zote alikuwa anajiuliza faida na hasara ya kufanya kitu fulani - na hata kama ni faida, ni faida kwa nani, majority au minority?

Huyu Nyerere ambae aliekataa watu kununua salon cars kama Benz na BMW na kuwataka wanunue pick up, leo unaweza kudiriki kusema hakununua ndege kama awamu ya tano? Huyu ambae alisema viongozi watatumia Land-Rover 109? You have to be a psychiatric case kumfikiria Nyerere hakununua ndege kwa kuwa hakuweza kama inavyofanyika sasa. For Nyerere it was always a matter of calculated choice, not just financial capability.
Kuna tofauti kubwa kati ya jinsi anavyofikiri mkemia na mwauchumi. Dynamics za uchumi ni pana na zinahitaji tafakuri pana wakati wa kufanya maamuxi kuliko za chemistry ambapo matokeo ya kila reaction yanaeleweka na kutabirika.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya jinsi anavyofikiri mkemia na mwauchumi. Dynamics za uchumi ni pana na zinahitaji tafakuri pana wakati wa kufanya maamuxi kuliko za chemistry ambapo matokeo ya kila reaction yanaeleweka na kutabirika.
Mara nyingine ni suala la common sense tu. Kina Nyerere, Mandela, Nkurumah nk, hawakusomea jinsi ya kuwa maraisi wenye busara. Tatizo ni kwamba japo tunasema ni suala la common sense, that type of sense in not common to every president!
 
Kweli kabisa. Mkapa aliunza nchi kikwelikweli. KIkwete hakurekebisha kitu. Angalau Magufuli amekuja kurekebisha kwa kiasi kikubwa, huo ni ukweli.
Watu wengine inabidi akili zenu muzifanyie FUMIGATION maana zimeingiliwa na wadudu. Magufuli amerekebisha mini? Wakati uchumi unaharibika kila uchwao? Mnadanganywa kuwa muko uchumi wa kati wakati 60% ya wananchi wa Tanzania hawawezi kumudu milo 2 kwa siku!!

Ufukara wa Tanzania kwa sasa unakarbiana na ule wa miaka ya 1980-85.

Aibu sana mtu anapomsifia Magufuli ambaye amemfukuza CAG aliyehoji zilipo Tsh 1.5 Trillion kwa miaka 3 akiwa ofisini.

Aibu kumsifia mtu anayenunua madege ili apate commission yake bila mpango kazi madhubuti. Yeye Magufuli anafanya miradi ya ujenzi jii apate RUSHWA tu itokanayo na miradi.
 
Watu wengine inabidi akili zenu muzifanyie FUMIGATION maana zimeingiliwa na wadudu. Magufuli amerekebisha mini? Wakati uchumi unaharibika kila uchwao? Mnadanganywa kuwa muko uchumi wa kati wakati 60% ya wananchi wa Tanzania hawawezi kumudu milo 2 kwa siku!!

Ufukara wa Tanzania kwa sasa unakarbiana na ule wa miaka ya 1980-85.

Aibu sana mtu anapomsifia Magufuli ambaye amemfukuza CAG aliyehoji zilipo Tsh 1.5 Trillion kwa miaka 3 akiwa ofisini.

Aibu kumsifia mtu anayenunua madege ili apate commission yake bila mpango kazi madhubuti. Yeye Magufuli anafanya miradi ya ujenzi jii apate RUSHWA tu itokanayo na miradi.
Mkuu, sidhani kama issue tuliyokuwa tukiongelea ni hali ya uchumi. Acha jazba soma kwa makini posts zinazotolewa. Uchumi una factor nyingi zinazouathiri, na sisi tumeongelea jambo moja tu, la 5% ambalo Mkapa alilikubali kutoka madini yetu, na ambalo ni kweli Magufuli amelikataa na kurekebisha. Sasa kama wewe unavyoelewa ni kwamba hilo peke yake ndio linajenga au kuharibu uchumi basi unahitaji kwenda shule, na akili yako ndio inayohitaji fumigation.
 
Back
Top Bottom