Labda ungewashauri watoroke wakimbie nchi! Hawa viongozi wa kiafrika wengi wana hila mnoo. Ukienda kinyume chao utashangaa kesho una kesi ya mwaka juzi na sheria zetu hizi! Bora wakae tu hapo anapotaka wakae basi mradi anawalipa.Mtu yeyote mwenye akili timamu kama hakubaliani na jambo best option ni kujiuzuru.
Hao jamaa zako ni wachumia tumbo tu, hawajiamini na wanaona hakuna maisha nje ya mfumo wa kula kodi za wananchi.