Mkuu umewaza mbali sana ukweli ni kwamba huo ujenzi wanaousema mbona huku mtaani hauonekani zaidi ya maneno tu, JPM alikuja na vitambulisho vya wajasirilia mali hili la tozo nalo lina walakini mkubwa sana, maana mna tozo huku mnakopa na wakati huo huo Tanzania ni donor country tuweni makini sana na hawa viongozi