Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,757
- Thread starter
- #101
Hapana Magezi hakumaanisha wewe, samurai alimaanisha Bowie ambaye anasema SGR Ethiopia imejengwa na wachina tuu.... Reply ya samurai ni mwendelezo wa kuunga mkono ile reply yako kwanguHujanisaidia chochote kwani najua mradi mzima kuliko wewe. Nikusahihishe, hawa "Motol Enginel (wareno)" ni Railway Bridge specialists" usione wanajenga kambi yao pale baada kidogo ya Mikese kama unaenda morogoro ukadhani wanafanya normal construction works, wao wanajenga madaraja tu. Kuna kampuni ndogo ndogo za waTZ ambazo zinafanya geotechnical investigations n.k.