wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
Naona kama kwenye education system bado tumelala sana. Hivi huwa najiuliza. Wananchi wa tanzania wanataka watoto wao waelimishwe kuhusu nn. Elimu bora imefafanuliwa vipi kwa wazazi.
Tuna mpango endelevu kweli wa kujua watoto wetu wanahitaji kujua nn mashuleni utakao husisha kubadilishwa kwa syllubus.
Je, wanahitaji kujua kingereza kizuri?
Je, wanahitaji kujifunza juu ya uzalendo wa afrika?
Je, wanahitaji kujifunza discipline?
Je, wanahitaji kujifunza technology?
Je, wanataka ipad na sio chaki?
Lakini swali linabaki palepale, watoto wetu wanataka nini?
Naongea hivi kwa sababu tukishindwa kujua watoto wetu wanataka nn. Kuna mtu atatokea sehemu, inaweza kua ulaya au sehemu yoyote na kutuletea chochote kwa watoto wetu na atadai kuwa hicho alichokileta ndo kinafaa kwa watoto wetu.
Watu wataniuliza, kwanini watu watoke nje watuletee sisi elimu ya watoto wetu na kutuelekeza jinsi ya kuwalea. Je, kuna kitu wanafaidika?
Of course yes, kwenye kila move inayofanywa na mtu ambae ni tofauti na jamii yetu lazima kuwe na ufaidikaji. Inaweza kua ni long term plan ya ku miseducate watoto.
Ndo maana nauliza tena, wana community wa Tanzania. Je, tunataka watoto wetu wapate nn mashuleni? Tuna sababu zozote za kubadili syllubus. Na kama zipo, tunampango gani za ku-implement. Maana zao la watanzania tulionao na matatizo yaliyopo limechangia sana na impact ya elimu yenye makosa mengi.
Tuna mpango endelevu kweli wa kujua watoto wetu wanahitaji kujua nn mashuleni utakao husisha kubadilishwa kwa syllubus.
Je, wanahitaji kujua kingereza kizuri?
Je, wanahitaji kujifunza juu ya uzalendo wa afrika?
Je, wanahitaji kujifunza discipline?
Je, wanahitaji kujifunza technology?
Je, wanataka ipad na sio chaki?
Lakini swali linabaki palepale, watoto wetu wanataka nini?
Naongea hivi kwa sababu tukishindwa kujua watoto wetu wanataka nn. Kuna mtu atatokea sehemu, inaweza kua ulaya au sehemu yoyote na kutuletea chochote kwa watoto wetu na atadai kuwa hicho alichokileta ndo kinafaa kwa watoto wetu.
Watu wataniuliza, kwanini watu watoke nje watuletee sisi elimu ya watoto wetu na kutuelekeza jinsi ya kuwalea. Je, kuna kitu wanafaidika?
Of course yes, kwenye kila move inayofanywa na mtu ambae ni tofauti na jamii yetu lazima kuwe na ufaidikaji. Inaweza kua ni long term plan ya ku miseducate watoto.
Ndo maana nauliza tena, wana community wa Tanzania. Je, tunataka watoto wetu wapate nn mashuleni? Tuna sababu zozote za kubadili syllubus. Na kama zipo, tunampango gani za ku-implement. Maana zao la watanzania tulionao na matatizo yaliyopo limechangia sana na impact ya elimu yenye makosa mengi.