Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,227
- 26,047
Nawasalimu kwa Jina la JMT
Siku si nyingi niliandika uzi kuhusu yanayopaswa kufanyika ili kuokoa mazingira yetu na kuiepusha nchi yetu na majanga ya chakula na Umeme .
Uzi huu hapa chini👇
Leo hii tunazungumzia Mgao wa Umeme unaotokana na matatizo niliyoyaelezea kwenye huu uzi!
Napenda kumshauri tena Rais Samia, arejee huu uzi niliouandika maana Kama hatua hazijachukuliwa haraka hali ya nchi hii itakuwa mbaya zaidi. Bwawa la Nyerere halitakuwa na Maji, Mabwawa yote tunayotumia hayatakuwa na Maji na mwisho kutakuwa na uhaba wa chakula usio kifani
Ni wakati wa kuchukua hatua! Jamii za wafugaji na wakulima zisipodhibitiwa nchi itaangamia Kweli!
Siku si nyingi niliandika uzi kuhusu yanayopaswa kufanyika ili kuokoa mazingira yetu na kuiepusha nchi yetu na majanga ya chakula na Umeme .
Uzi huu hapa chini👇
Rais Samia wape meno TFS, anzisha kampeni ya upandaji na utunzaji Miti Tanzania nzima. Iongozwe na vijana wa kujitolea JKT
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mama! Kwanza nikupongeze kwa Mafanikio makubwa yanayoonekana kwenye suala la kuwahamisha Machinga na kuwapeleka maeneo rasmi. Na furaha nchi sasa imeanza kupendeza hasa majiji yetu! Nimepita Posta mpya leo na Kweli nimeiona Posta niliyoijua...
www.jamiiforums.com
Leo hii tunazungumzia Mgao wa Umeme unaotokana na matatizo niliyoyaelezea kwenye huu uzi!
Napenda kumshauri tena Rais Samia, arejee huu uzi niliouandika maana Kama hatua hazijachukuliwa haraka hali ya nchi hii itakuwa mbaya zaidi. Bwawa la Nyerere halitakuwa na Maji, Mabwawa yote tunayotumia hayatakuwa na Maji na mwisho kutakuwa na uhaba wa chakula usio kifani
Ni wakati wa kuchukua hatua! Jamii za wafugaji na wakulima zisipodhibitiwa nchi itaangamia Kweli!