Tusipochagua genius position hizi hili taifa siku moja litakuwa taifa la manamba

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,217
Taifa lolote lenye nguvu duniani ni taifa lenye watu walio wazalendo na wenye akili nyingi na walio jiwekea misingi kuongozwa na watu wenye akili.

Taifa lolote duniani lililo na maendeleo na nguvu duniani limewekwa kwenye misingi ya watu wenye akili na sio watu wenye akili kidogo.

Wengi mtajiuliza nini chanzo cha mfumo wa elimu wa vipaji maalumu. Hii ni theory ambayo wana philosophy waliielezea ktk msingi wa elimu ni maana ya elimu na kwanini serikali inawajibu kusomesha watu wake kwa gharama kubwa.

Kama hujuwi elimu yakuwatenga wanafunzi ktk groups na kuwa na watu wenye vipaji maalumu nia yake kuu nikuwatengeneza watu ambao watafanya kazi maalumu ktk serikali. Usipo kuwa na mfumo mzuri kujuwa hazina ya genius ktk taifa lako nikuiweka serikali ktk mtanziko mkubwa pasipo kujuwa.

Watu wenye akili ni watu hatari kuliko bom la nyukilia maana akili ndio silaha ya mwisho kumuangamiza adui.

Mataifa makubwa kama Germany, USA, Israel, Canada, China,Japan, Russia nk ni moja ya mataifa yana elimisha watu wao na kutumia vyema human capital. Taifa kama USA wana kitu kinaitwa green card hii, hii card kuipata lazima uwe umefanya kitu kwao yani ukiwa na talent hii card kuipata ni rahisi sana. Why ref human capital.

Ipo story ya ajabu sana na yakutisha kuhusu human capita and how they can change the nation.

Taifa la Israel. Ndugu yangu kama unataka kujuwa nguvu ya akili nakuomba ujifunze kwa hili taifa. Naomba usome nakusoma jinsi lilivyo anzishwa navile nguvu ya akili imewafanya kuwa Taifa lenye nguvu na kutisha hata mataifa makubwa.

Hawa jamaa system yao imejaa elites aka people with high IQ na usije jichanganya.

Nitaifa kuanzia Rais na viongozi wote wa juu ni watu wenye talent na wapo sehem maalumu kwa kazi maalum.

Nchi zetu za Africa na hasa Tz kwa sasa tunacheza na hii theory tukiamini majeshi yetu na vyombo vya ulinzi ndio silaha kupambana na watu. Na hii inathibitishwa na Prof Lumumba aliposema ktk Africa mtu mwenye akili akionekana basi hutafutiwa visa wamuuwe wakati kwa nchi za ulaya na Marekani wanamlinda na kumpa mahitaji yake yakielimu afike mahali pakulisaidia taifa. Sote ni mashaidi wanafunzi wenye akili na uwezo wa ziada ktk masomo wapo walio fanikiwa ila wapo waliojikuta ktk mtego na kupoteza raman kwasababu yakuuliza jambo au kuwa kinyume na walimu wao au viongozi.

Wapo vijana wamekufa silence wapo vijana wameingia kwenye urabu wa pombe na bangi ila walikuwa genius.

Mungu ametufundisha na kutuumbua kupitia Barack Obama. Baba yake alikuwa ni mchumi mwenye akili lakini Ubaguzi na chuki vikamkuta baba yake Obama jambo lilimfanya kuwa mlevi wakupindukia mwisho umauti.

Nini kilimkuta.. Baba yake Obama alikuwa natoka kwenye kabila lililokuwa halisaminiwi kule Kenya yani wajaluwo. Kama ulikuwa hujuwi Kenya wanamakabila kadhaa ila Kikuyu na Jaluo ndio wanawindana. Baba yake Kenyata wa sasa ni Kikuyu while Obama alikuwa Mjaluwo nini kilimkuta mtafute
 
... nimeandika kwenye ule uzi mwingine na hapa narudia tena; hatujawahi kuwa na upungufu wa resources; tatizo letu kuu ni upungufu wa akili za kutawala mazingira na kupangilia resources zilizopo kulipeleka taifa hili mbele. Haiwezekani miaka 60 ya uhuru sasa bado tunazungumzia upungufu wa umeme na maji Dar es Salaam kwa mfano! Huko ni kukosa akili za kupangilia resources zilizopo.
 
... silaha nyingine inayotumika na watawala Afrika anapoonekana mwenye akili miongoni mwao ni "kumrushia makombo" ili aungane nao ambapo huishia kudidimizwa kwenye fikra mfu za watawala walioshindwa ila wapenda madaraka mwisho huwa kama wao. Wachache wanaokataa kupokea makombo hufanyiwa kila aina ya vitimbi pengine hata kupotezewa uhai.
 
Tanzania ukiwa na akili nyingi unaonekana kuwa tishio kwa waliopo juu, sio TISS, JWTZ, PT, utumishi wa umma na siasa za CCM.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba mfumo wetu unaongozwa na average people. Ukiwa tofauti lazima mfumo ukuteme tuu, ukitaka ku survive huna budi kuweka pembeni akili zako na kuwa mchumia tumbo, tunayo mifano kibao ya very bright people waliotumia njia hiyo ku survive kama vile Kabudi, Mwakyembe, Polepole, Bashiru na Zitto.

Shule za vipaji maalumu ni siasa tu, ku recruit watoto wa sekondari kwenye idara nyeti ni ujinga mwingine na kuishi nyuma ya wakati, miaka hiyo ya mwalimu hilo lilikuwa sawa kwani nchi haikuwa na vyuo vikuu vya kutosha.

Wenzetu wana recruit vyuoni, tena seniors na maofisini, watu wanaojitambua na ambao unaweza kuwapima 'vipaji' vyao. Mtoto kukalili maswali ya mtihani wa darasa la saba kisha anachaguliwa kwenda Tabora boys hana kipaji chochote cha maana.

Walau kwenye hili JWTZ wako vizuri, MI wana recruit wanajeshi walioajiriwa na ambao wamepata muda wa kutosha kuwachunguza tabia zao wakiwa na kazi na kipato.
 
Tanzania ukiwa na akili nyingi unaonekana kuwa tishio kwa waliopo juu, sio TISS, JWTZ, PT, utumishi wa umma na siasa za CCM.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba mfumo wetu unaongozwa na average people. Ukiwa tofauti lazima mfumo ukuteme tuu, ukitaka ku survive huna budi kuweka pembeni akili zako na kuwa mchumia tumbo, tunayo mifano kibao ya very bright people waliotumia njia hiyo ku survive kama vile Kabudi, Mwakyembe, Polepole, Bashiru na Zitto.

Shule za vipaji maalumu ni siasa tu, ku recruit watoto wa sekondari kwenye idara nyeti ni ujinga mwingine na kuishi nyuma ya wakati, miaka hiyo ya mwalimu hilo lilikuwa sawa kwani nchi haikuwa na vyuo vikuu vya kutosha.

Wenzetu wana recruit vyuoni, tena seniors na maofisini, watu wanaojitambua na ambao unaweza kuwapima 'vipaji' vyao. Mtoto kukalili maswali ya mtihani wa darasa la saba kisha anachaguliwa kwenda Tabora boys hana kipaji chochote cha maana.
Hayo yote yanawezekana kwa katiba mpya
 
Tanzania ukiwa na akili nyingi unaonekana kuwa tishio kwa waliopo juu, sio TISS, JWTZ, PT, utumishi wa umma na siasa za CCM.

Hii ni kutokana na ukweli kwamba mfumo wetu unaongozwa na average people. Ukiwa tofauti lazima mfumo ukuteme tuu, ukitaka ku survive huna budi kuweka pembeni akili zako na kuwa mchumia tumbo, tunayo mifano kibao ya very bright people waliotumia njia hiyo ku survive kama vile Kabudi, Mwakyembe, Polepole, Bashiru na Zitto.

Shule za vipaji maalumu ni siasa tu, ku recruit watoto wa sekondari kwenye idara nyeti ni ujinga mwingine na kuishi nyuma ya wakati, miaka hiyo ya mwalimu hilo lilikuwa sawa kwani nchi haikuwa na vyuo vikuu vya kutosha.

Wenzetu wana recruit vyuoni, tena seniors na maofisini, watu wanaojitambua na ambao unaweza kuwapima 'vipaji' vyao. Mtoto kukalili maswali ya mtihani wa darasa la saba kisha anachaguliwa kwenda Tabora boys hana kipaji chochote cha maana.

Walau kwenye hili JWTZ wako vizuri, MI wana recruit wanajeshi walioajiriwa na ambao wamepata muda wa kutosha kuwachunguza tabia zao wakiwa na kazi na kipato.
Kukalili pia ni kipaji, hivi mfano mtoto akikalili wimbo wote sio kipaji hicho? Nenda kasome aina za akili (zipo nne kuna ya kuelewa, kukalili, kukumbuka na kufikiri).
Wapo watu wanauwezo wa kushika vitu kama vilivyo kisha kuvikumbuka.
Wapo watu wanauwezo wa kuelewa tu kitu ila hawawezi kushika.
Wapo watu wanauwezo wa kukumbuka vitu walivyofundishwa.
Wapo watu wanauwezo wa kufikiria na kutoa solution.
Hivyo vyote ni vipaji.

Wanapozungumzia shule za vipaji hawazungumzii vipaji vya kuimba muziki, kucheza mpira au Kudance.

Wanauzungumzia vibaji kwenye masomo ya darasani. Sio kila mmoja anaweza kupata 90/100, nikwanini sio kila mmoja sababu hanauwezo. Unapozungumzia talent ni uwezo wa kufanya kitu katika viwango vikubwa ambavyo mwingine hawezi kufikia.
Sasa na katika elimu ipo hivyo, mwanafunzi anayeweza kufanya hesabu na kufauru kwa kiwango kikubwa kuliko wengine huyo anatalent.
Sasa ndio hao huwa tunawachukua nakuwapeleka Tabora Girls na Kibaha.
 
Kila binadamu ana nafasi yake katika gurudumu la kuendeleza taifa, tunakosa mifumo imara na taasis imara.
Hatuna hitaji la watu geneus muda wote.
 
Taifa lolote lenye nguvu duniani ni taifa lenye watu walio wazalendo na wenye akili nyingi na walio jiwekea misingi kuongozwa na watu wenye akili.
Taifa lolote duniani lililo na maendeleo na nguvu duniani limewekwa kwenye misingi ya watu wenye akili na sio watu wenye akili kidogo.
Wengi mtajiuliza nini chanzo cha mfumo wa elimu wa vipaji maalumu. Hii ni theory ambayo wana philosophy waliielezea ktk msingi wa elimu ni maana ya elimu na kwanini serikali inawajibu kusomesha watu wake kwa gharama kubwa.
Kama hujuwi elimu yakuwatenga wanafunzi ktk groups na kuwa na watu wenye vipaji maalumu nia yake kuu nikuwatengeneza watu ambao watafanya kazi maalumu ktk serikali. Usipo kuwa na mfumo mzuri kujuwa hazina ya genius ktk taifa lako nikuiweka serikali ktk mtanziko mkubwa pasipo kujuwa.
Watu wenye akili ni watu hatari kuliko bom la nyukilia maana akili ndio silaha ya mwisho kumuangamiza adui.
Mataifa makubwa kama Germany, USA, Israel, Canada, China,Japan, Russia nk ni moja ya mataifa yana elimisha watu wao na kutumia vyema human capital. Taifa kama USA wana kitu kinaitwa green card hii, hii card kuipata lazima uwe umefanya kitu kwao yani ukiwa na talent hii card kuipata ni rahisi sana. Why ref human capital.

Ipo story ya ajabu sana na yakutisha kuhusu human capita and how they can change the nation.
Taifa la Israel. Ndugu yangu kama unataka kujuwa nguvu ya akili nakuomba ujifunze kwa hili taifa. Naomba usome nakusoma jinsi lilivyo anzishwa navile nguvu ya akili imewafanya kuwa Taifa lenye nguvu na kutisha hata mataifa makubwa.
Hawa jamaa system yao imejaa elites aka people with high IQ na usije jichanganya.
Nitaifa kuanzia Rais na viongozi wote wa juu ni watu wenye talent na wapo sehem maalumu kwa kazi maalum.

Nchi zetu za Africa na hasa Tz kwa sasa tunacheza na hii theory tukiamini majeshi yetu na vyombo vya ulinzi ndio silaha kupambana na watu. Na hii inathibitishwa na Prof Lumumba aliposema ktk Africa mtu mwenye akili akionekana basi hutafutiwa visa wamuuwe wakati kwa nchi za ulaya na Marekani wanamlinda na kumpa mahitaji yake yakielimu afike mahali pakulisaidia taifa. Sote ni mashaidi wanafunzi wenye akili na uwezo wa ziada ktk masomo wapo walio fanikiwa ila wapo waliojikuta ktk mtego na kupoteza raman kwasababu yakuuliza jambo au kuwa kinyume na walimu wao au viongozi.
Wapo vijana wamekufa silence wapo vijana wameingia kwenye urabu wa pombe na bangi ila walikuwa genius.
Mungu ametufundisha na kutuumbua kupitia Barack Obama. Baba yake alikuwa ni mchumi mwenye akili lakini Ubaguzi na chuki vikamkuta baba yake Obama jambo lilimfanya kuwa mlevi wakupindukia mwisho umauti.
Nini kilimkuta.. Baba yake Obama alikuwa natoka kwenye kabila lililokuwa halisaminiwi kule Kenya yani wajaluwo. Kama ulikuwa hujuwi Kenya wanamakabila kadhaa ila Kikuyu na Jaluo ndio wanawindana. Baba yake Kenyata wa sasa ni Kikuyu while Obama alikuwa Mjaluwo nini kilimkuta mtafute
Kwa muktadha wa mada yako,kipimo cha akili ni nini?.
 
... nimeandika kwenye ule uzi mwingine na hapa narudia tena; hatujawahi kuwa na upungufu wa resources; tatizo letu kuu ni upungufu wa akili za kutawala mazingira na kupangilia resources zilizopo kulipeleka taifa hili mbele. Haiwezekani miaka 60 ya uhuru sasa bado tunazungumzia upungufu wa umeme na maji Dar es Salaam kwa mfano! Huko ni kukosa akili za kupangilia resources zilizopo.
Mkuuu maneno machache sana yenye kujieleza ,NASIMAMA NA WEWE 100%
 
Kwa mataifa makubwa, great minds wapo kwenye taasisi muhimu za serikali.

Hapa kwetu average minds ndiyo wapo Serikalini. Great minds wapo sekta binafsi kwa sababu great minds hawawezi kukubali kuburuzwa.

Serikalini hawahitajiki great minds ambao wanaweza kuchallenge systems, maamuzi na policies. Serikalini wanahitajika watu wanafiki, watu ambao kwa lolote wanaloambiwa, jibu lao ni ndiyo mheshimiwa. Wanahitajika watu wanaojua kusifu tu na siyo kuhoji au kufikiri. Sasa mambo hayo, hakuna mwenye akili anayeweza kukubali.

Jibu zuri lilipatikana kutoka TWAWEZA ambapo ilionekana kuwa CCM inapendwa na kuungwa mkono na watu wajinga (hawa ndio wale wanafiki wa kusifia kila kitu, na kushangilia). Ni ngumu kufanikiwa kwa kumtegemea mjinga na mnafiki.

Tanzania, siku mfumo utakapobadilika, ambapo mfumo utaruhusu super intelligent tu waongpze nchi, Taifa hili litapaa kwa maendeleo ya kila eneo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom