Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,051
Una group sawa na mimi, kwakweli Mungu katujalia sana. Huu ni mwaka wa 10 nina card ya BIMA ya Afya(mimi ni mtumishi wa serikali) lakini card yangu nimeitumia mara mbili tu kwa miaka 10.Mimi ni B+, sina mafua aina yoyote. Nanaoishi nao wote wameugua.
Nadhani ni bahati aliyonijalia Mwenyezi Mungu. Nina miaka saba sasa sijaugua. Alhamdulillah!.