Tusiougua Mafua, Homa na Vifua Kipindi hiki ni Sisi tu 'tuliobarikiwa' Damu ya Group O+, hivyo tujuane ili 'tumshukuru' Mwenyezi Mungu

Mimi ni B+, sina mafua aina yoyote. Nanaoishi nao wote wameugua.

Nadhani ni bahati aliyonijalia Mwenyezi Mungu. Nina miaka saba sasa sijaugua. Alhamdulillah!.
Una group sawa na mimi, kwakweli Mungu katujalia sana. Huu ni mwaka wa 10 nina card ya BIMA ya Afya(mimi ni mtumishi wa serikali) lakini card yangu nimeitumia mara mbili tu kwa miaka 10.
 
Mimi sijawahi kuugua Malaria, typhoid, UTI,homa homa toka nimekuwa na akili zangu..zaidi Sana ni kichwa,tena kinakuwa na sababu.hangover,nikiwa kwenye mkusanyiko wa watu wengi au marashi makali..zaidi ya hayo naweza kudunda hata miaka 3 sijaumwa chochote..hata mafua sikumbuki lini yamenishika.Namshukuru Sana Mungu kwahilo..0-
 
Pamoja na huu Unyonge ( Umasikini ) wangu mkubwa na wa Kutukuka nilionao GENTAMYCINE kitu pekee ambacho namshukuru Mwenyezi Mungu ( Allah ) ni Kwanza Kunilinda Kiafya kwa Kutougua hovyo na Kubwa zaidi 'Kunibariki' na Damu ya Group O+ ambayo ni Kinga tosha Kwangu ( Kwetu ) katika kupata Changamoto mbalimbali za Kiafya.

Wanaonizunguka hadi Marafiki walianza kwa Kuugua sana Macho ila Mimi sikuugua. Kisha hao hao wanaonizuguka wakaanza tena Kuugua Mafua, Homa na Vifua hadi muda huu naandika huu Uzi lakini Mimi nipo vyema tu Kiafya hadi sasa Wananishangaa na kudhani Mimi ni Mchawi ( Kikagula ) wakati hata 'Kuroga' kwenyewe tu sijui.

Kama kawaida yangu GENTAMYCINE ya kupenda Kudadisi mambo ili Kujitajirisha zaidi Kimaarifa ikanilazimu niende Kuonana na Madaktari Bingwa Wawili Mmoja ni wa Hospitali ya Kimedani ( Kijeshi ) Mwenge na mwingine ni wa Hospitali ya Wazandiki ( Kinjagu ) Makumbusho ambapo Wote walinipa majibu yanayokaribiana Kimaelezo.

"GENTAMYCINE Kisayansi Watu wenye Damu ya Group O+ huwa hawaugui hovyo Magonjwa mbalimbali na hata kupata UKIMWI vile vile huwa ni ngumu kwani huwa ni Watu wenye Kinga Kali katika Miili yao halafu huwa siyo wengi hali inayopelekea hata Damu kuwa nadra kupatikana katika Benki zetu za Damu na hata ukiikuta huwa ni ya Gharama sana" walisema Madaktari Bingwa hawa.

Naomba ieleweke wazi hapa kuwa siyo kwamba nimeanzisha Uzi huu Kuwananga ( Kuwasiliba ) wale msio na Damu ya Group O+ au Kujivunia ( Kujimwambafai ) la hasha bali nimeandika hili ili kama Mwanadamu mwenye Imani ya Kiroho niweze kutoa Shukran zangu za dhati Kwake Baba Muumba kwa Kuniumba hivi kwani kwa huu Ufukara ( Umasikini ) wangu mkubwa na Ulionikomaa mpaka Kunizoea GENTAMYCINE najiuliza kama ningekuwa Naugua haya Magonjwa mbalimbali leo ningekuwaje au ningejitibu vipi wakati Hela sina au ningekuwa Mgeni wa nani kusudi niweze Kupona.

Ewe Mwenyezi Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo kupitia kwa Mwanao Yesu Kristo wa Nazareth Mimi GENTAMYCINE sina cha Kukupa au Kukurejeshea au Kukulipa kwa hizi Baraka na Neema zako za 'Kiafya' Kwangu ila nitaendelea Kulitaja Jina lako na Kukushukuru kila Uchao kwani unaniepusha na mengi ya Kidunia na Kikubwa nakuomba tu Usiniache bali endelea Kunikumbatia na Kunibariki zaidi niumalize mwaka huu 2021 salama na niingie mwaka 2022 nikiwa na Mafuriko ya Mafanikio na unifungulie Milango mingi ya Ustawi wa Maisha yangu Amina ( Amen )

Wenye Group O+ nyote Hongereni mno.
Mi Nina group A na ninalala na mtu na mafua makali na sijapata
 
Pamoja na huu Unyonge ( Umasikini ) wangu mkubwa na wa Kutukuka nilionao GENTAMYCINE kitu pekee ambacho namshukuru Mwenyezi Mungu ( Allah ) ni Kwanza Kunilinda Kiafya kwa Kutougua hovyo na Kubwa zaidi 'Kunibariki' na Damu ya Group O+ ambayo ni Kinga tosha Kwangu ( Kwetu ) katika kupata Changamoto mbalimbali za Kiafya.

Wanaonizunguka hadi Marafiki walianza kwa Kuugua sana Macho ila Mimi sikuugua. Kisha hao hao wanaonizuguka wakaanza tena Kuugua Mafua, Homa na Vifua hadi muda huu naandika huu Uzi lakini Mimi nipo vyema tu Kiafya hadi sasa Wananishangaa na kudhani Mimi ni Mchawi ( Kikagula ) wakati hata 'Kuroga' kwenyewe tu sijui.

Kama kawaida yangu GENTAMYCINE ya kupenda Kudadisi mambo ili Kujitajirisha zaidi Kimaarifa ikanilazimu niende Kuonana na Madaktari Bingwa Wawili Mmoja ni wa Hospitali ya Kimedani ( Kijeshi ) Mwenge na mwingine ni wa Hospitali ya Wazandiki ( Kinjagu ) Makumbusho ambapo Wote walinipa majibu yanayokaribiana Kimaelezo.

"GENTAMYCINE Kisayansi Watu wenye Damu ya Group O+ huwa hawaugui hovyo Magonjwa mbalimbali na hata kupata UKIMWI vile vile huwa ni ngumu kwani huwa ni Watu wenye Kinga Kali katika Miili yao halafu huwa siyo wengi hali inayopelekea hata Damu kuwa nadra kupatikana katika Benki zetu za Damu na hata ukiikuta huwa ni ya Gharama sana" walisema Madaktari Bingwa hawa.

Naomba ieleweke wazi hapa kuwa siyo kwamba nimeanzisha Uzi huu Kuwananga ( Kuwasiliba ) wale msio na Damu ya Group O+ au Kujivunia ( Kujimwambafai ) la hasha bali nimeandika hili ili kama Mwanadamu mwenye Imani ya Kiroho niweze kutoa Shukran zangu za dhati Kwake Baba Muumba kwa Kuniumba hivi kwani kwa huu Ufukara ( Umasikini ) wangu mkubwa na Ulionikomaa mpaka Kunizoea GENTAMYCINE najiuliza kama ningekuwa Naugua haya Magonjwa mbalimbali leo ningekuwaje au ningejitibu vipi wakati Hela sina au ningekuwa Mgeni wa nani kusudi niweze Kupona.

Ewe Mwenyezi Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo kupitia kwa Mwanao Yesu Kristo wa Nazareth Mimi GENTAMYCINE sina cha Kukupa au Kukurejeshea au Kukulipa kwa hizi Baraka na Neema zako za 'Kiafya' Kwangu ila nitaendelea Kulitaja Jina lako na Kukushukuru kila Uchao kwani unaniepusha na mengi ya Kidunia na Kikubwa nakuomba tu Usiniache bali endelea Kunikumbatia na Kunibariki zaidi niumalize mwaka huu 2021 salama na niingie mwaka 2022 nikiwa na Mafuriko ya Mafanikio na unifungulie Milango mingi ya Ustawi wa Maisha yangu Amina ( Amen )

Wenye Group O+ nyote Hongereni mno.
Na mimi group O+ lakini mafua ya kipindi hiki yamenipiga vibaya sana
 
Sina uwakika sna lakini nasikia ambao wapo vizuli ni group 0 -
Nakumbuka kipindi tupo kikosi pale 822 kj , katika watu 1000 ambao tulikuwa pale , wenye O - walikuwa ni watu watatu .
Captain ambaye pia alikuwa dactari pale , moja kwa moja aliwapa cheo cha kuwa karani , na kusema hawa watu ni muhimu sana maana wanaweza kuchangia damu katika magroup yoteee yani kinga ambazo magroup mengine (A B) wanazo wao wanazo zotee , hivyo kuwa poteza hawa ni kupoteza akiba ya damu ya kikosi hivyo kama jeshi lina wajibu wa kuwawalinda kwa gharama yoyote hata vitani hawapaswi kwenda hawa .

nilicheka sanaaa
Mkuu hayo magroup ya damu ni ya watu wengi sana tu, labda hapo Jkt ndiyo mlijikuta wachache.

Group la damu ambalo wanalo watu wachache ni AB.

Sifa ulizotaja za group O kuongeza kila aina ya group ni sahihi.
 
Mi mwnyw ni 0+,,ni kwel uyasemayo hili group la dam ni gum kupata magonjwa hasahasa HIV Nina mifano hai
 
Tulio kombolewa kwa damu ya Yesu pia tupo tunaendelea kudunda juu uso wa nchi ya walio hai.maana imeandikwa na furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyetu huzuni na kuugua zitakimbia .
Hivyo mangojwa ndo yanapaswa yanikimbie mimi na si mimi niyakimbie.
 
Yeah niliambiwa blood group O huwa hatuugui hovyo, ila tatizo letu moja wengi wetu tunasumbuliwa sana na acid na tumbo kujaa gesi! Hasa sisi wenye ulcers yaani ukila kitu kidogo tu tumbo linajaa gesi, na ukifanya kazi yoyote ngumu unasikia kifua kinauma kama vile kuna mtu anakikandamiza!
Hata mimi nilishawahi kusikia kuhusu gesi tumboni na hiyo ni baada ya kulalamika miaka mingi sana na hata jana nimetoka kuumwa tumbo kisa gesi halafu ulcers ni kama zimegoma kutibika
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom